10 mbaroni wakidai kuchukuliwa nyeti zao Zanzibar

Unguja. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Zanzibar, linawashikilia watu 10 wakidai kuchukuliwa nyeti zao na kusababisha madhara makubwa kwa watu waliowatuhumu. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Mkoa huo, Richard Mchonvu, watu hao wamekamatwa kwa nyakati tofauti kati ya Aprili 4 na 9 katika maeneo tofauti baada ya kudai wamechukuliwa nyeti zao…

Read More

KATIBU MKUU RAMEPRO,BONIVENTURA MWALONGO SAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO CHA MAREHEMU KARDINALI PENGO

Kwa masikitiko makubwa na huzuni nzito, tumepokea taarifa ya kifo cha Mwadhama Polycarp Cardinali Pengo, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam. Marehemu alikuwa mchungaji mwaminifu na kiongozi mwenye hekima na busara, aliyeilitumikia Kanisa na Taifa kwa uaminifu mkubwa, akiacha alama isiyofutika katika mioyo ya wengi. Kwa niaba yangu binafsi na kwa…

Read More

INADES YAZINDUA BWAWA LA KUNYWESHEA MIFUGO MIGORI IRINGA

Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV SHIRIKA la INADES-Formation Tanzania limezindua ujenzi wa bwawa la kunyweshea mifugo (water trough) katika Kijiji cha Migori, Wilaya ya Iringa, kwa lengo la kuboresha upatikanaji wa maji salama na ya uhakika kwa punda na mifugo mingine midogo. Mradi huo unatekelezwa kwa ushirikiano na Brooke East Africa, kwa kushirikiana na Halmashauri…

Read More

Kardinali Pengo alivyoagwa Dar | Mwananchi

Dar es Salaam. Nyuso zenye huzuni zimetamalaki katika Kanisa Kuu Katoliki la Mtakatifu Yosefu jijini Dar es Salaam, ambapo mamia ya waombolezaji wamejitokeza katika misa takatifu ya kumwombea na kumuaga hayati Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo. Kardinali Pengo (82) alifariki dunia Februari 19, 2026 akipatiwa matibabu katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), mazishi yake…

Read More

Polisi yawachia 38 wa Chadema Musoma, yenyewe yasema…

Musoma. Watu 38 ambao miongoni mwao walikuwepo viongozi, makada na wafuasi Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) waliokuwa wanashikiliwa na Polisi mkoani Mara, kwa madai ya kufanya vurugu na kuzua taharuki mjini Musoma wameachiwa kwa dhamana. Watu hao akiwamo Katibu wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha), Pamela Massay walikamatwa mjini Musoma jana Jumapili, Mei 8,…

Read More

Maana mabadiliko ya ada za bandari

Dar es Salaam. Mjadala umeibuka miongoni mwa wadau wa sekta ya uchukuzi na wafanyabiashara kufuatia kutangazwa kwa ada mpya za mizigo ya ndani katika bandari nchini, huku baadhi wakidai zinaongeza gharama za biashara. Hata hivyo, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imesema hatua hiyo inalenga kuboresha miundombinu na kuongeza ufanisi wa huduma za bandari….

Read More