Imani za kishirikina zatishia wananchi kudai haki zao Tanga

Tanga. Baadhi ya wananchi jijini Tanga wameeleza hofu ya imani za kishirikina, imekuwa kikwazo kwao kudai haki zao katika migogoro mbalimbali inayowakabili ikiwemo masuala ya ardhi. Mara kadhaa wananchi wamekuwa wakisikiliza malalamiko ya wenzao, lakini wengi hushindwa kuchukua hatua kwa hofu ya madhara yanayodaiwa kuhusishwa na ushirikina. Malalamiko haya yamejitokeza katika kliniki ya sheria inayosimamiwa…

Read More

Mfiduo dhidi ya Unyonyaji – Masuala ya Ulimwenguni

Credit: Umoja wa Mataifa Maoni na Bisma Qamar (new york) Jumatano, Machi 11, 2026 Inter Press Service NEW YORK, Machi 11 (IPS) – Mara nyingi nimeulizwa swali rahisi lakini muhimu: Je, tunawezaje kuifanya iwe endelevu ikiwa hatujafidiwa kwayo? Swali hilo linakaa katika kiini cha mazungumzo ambayo hatuzungumzi vya kutosha. Mahali fulani kati ya mfiduo na…

Read More

Jamhuri ya Afrika ya Kati yaingia katika awamu ya ‘maamuzi’ baada ya uchaguzi wa kihistoria – Masuala ya Ulimwenguni

Muhtasari wa Baraza la Usalama Jumatano, Mwakilishi Maalum Valentine Rugwabiza alisema uchaguzi wa tarehe 28 Disemba 2025 uliashiria “hatua muhimu katika uimarishaji wa mchakato wa amani na mamlaka ya Serikali.” Uchaguzi wa pamoja wa rais, wabunge, mikoa na manispaa – ikijumuisha kura za kwanza za manispaa tangu 1988 – ziliwakilisha “oparesheni kubwa zaidi za uchaguzi…

Read More

TANZANIA YAADHIMISHA MIAKA 5 YA HAYATI DKT JOHN POMBE MAGUFULI

Leo Tanzania inaadhimisha miaka mitano tangu kuondoka kwa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli nyumbani kwake wilayani Chato mkoani Geita nhuku Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwa ameshawasili tayari kuongoza maadhimisho hayo ya kitaifa. Maadhimisho haya yanatarajiwa kupambwa na Misa Takatifu itakayofanyika…

Read More

Zijue faida za safari ya wanaanga wa NASA mwezini

Dar es Salaam. Zikiwa zimepita siku sita tangu Shirika la Anga la Marekani (NASA) kuzindua rasmi safari yake ya mwezini kupitia chombo cha Artemis II, imeelezwa kuwa tafiti zinazofanyika angani zina matokeo ya moja kwa moja kwa jamii, hususan katika sekta za afya, mawasiliano na uchumi. Miongoni mwa tafiti zinazoenda kufanyika ni pamoja na utafiti…

Read More

Shahidi aeleza alivyokamata vielelezo kesi ya Malisa

Moshi. Shahidi wa pili wa upande wa Jamhuri katika kesi ya makosa ya kimtandao inayomkabili Mchungaji Godfrey Malisa, ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi jinsi alivyoenda kupekua nyumbani kwa Malisa na kukusanya vielelezo vinne ambavyo ni simu, kompyuta (laptop) mbili pamoja na chaja moja ya laptop. Shahidi huyo, Mkaguzi wa Polisi, Nickson Mwamnyasi wa Kituo…

Read More