Wadau waona fursa mpya utekelezaji mapendekezo ya tume ya kodi
Dar es Salaam. Siku moja baada ya Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi kuwasilisha mapendekezo 284 mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan, wadau wamesema kuwa, ikiwa kilichosemwa kitatekelezwa kikamilifu, mageuzi makubwa yatashuhudiwa. Miongoni mwa mapendekezo yaliyotolewa ni mabadiliko katika sekta ya kodi, ikiwamo kubadili jina la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)…
Yanga Yashauriwa Kubadili Kocha na Benchi la Ufundi – Video
Global Publishers March 23, 2026 0 Comments Mtangazaji na mchambuzi wa soka, Ibrahim Rajab maarufu kama Ball Dancer, ametoa ushauri kwa Young Africans SC kuachana na kocha wao Miguel Angel Gamondi (Pedro), akidai kuwa ameshindwa kukuza viwango vya wachezaji wa timu hiyo. Rajab amesema kuwa licha ya Yanga kuwa na kikosi chenye vipaji, maendeleo ya…
Miili ya Wanajeshi Wawili wa Marekani Yapatikana, Idadi ya Vifo Yafikia Sita
Global Publishers March 3, 2026 0 Comments Miili ya wanajeshi wawili wa Marekani ambao hapo awali walikuwa hawajulikani walipatikana kutoka kwenye jengo lililoshambuliwa wakati wa mashambulizi ya awali ya Iran, ikiongeza idadi ya majeruhi wa vifo katika mzozo unaoendelea kati ya Marekani na Iran kufikia wanajeshi sita. Taarifa hii imetolewa na United States Central Command…
Mwamko wa wazazi unavyofifisha utoaji chakula shuleni
Dar es Salaam. Wakati changamoto ya watoto kushindwa kupata chakula shuleni ikizidi kuathiri ujifunzaji, hali hiyo imetajwa kuchangiwa na mwamko duni wa wazazi. Mmoja wa walimu kutoka mkoani Kigoma, akizungumza hivi karibuni na Mwananchi, amesema licha ya ushirikishwaji, bado utayari ni mdogo. “Tumejaribu kufanya vikao mara mbili kuwashirikisha wazazi kuchangia chakula, hatujafanikiwa. Wengi wanasema hilo…
Kwa nini Uongozi wa Kiafrika Unakosa Uratibu wa Malipo? – Masuala ya Ulimwenguni
Ngome ya Unsplash ya Kisiwa cha Goree, Senegal, ilikuwa tovuti ya moja ya makazi ya mapema zaidi ya Uropa katika Afrika Magharibi. Chanzo Habari za UN | Miito ya haki ya ulipaji haiwezi kupuuzwa tena, wazungumzaji katika kikao cha nne cha Umoja wa Mataifa Jukwaa la Kudumu la Asili ya Kiafrika alisema Aprili iliyopita. Walihimiza…
Mpanzu aizamisha Singida BS, Simba iking’ara ugenini
NI Elie Mpanzu ambaye dakika 15 za mwisho zilitosha kwake kuimaliza mechi ya Ligi Kuu Bara iliyochezwa leo Jumatano Machi 11, 2026 ambayo Simba iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Singida Black Stars kwenye Uwanja wa Airtel mkoani Singida. Wakati ambao kocha wa Simba, Steve Barker alikuwa akiumiza kichwa mchezaji wa kuamua mechi…
Mzee Samagubi alivyonusurika kifo, kaya 720 zikizongwa na maji Turiani
Morogoro. Zaidi ya kaya 700 zimekumbwa na mafuriko baada ya mto Mbulumi kuvunja kingo zake na kuelekeza maji katika makazi ya watu, hali iliyosababisha nyumba zaidi ya 20 kubomoka na wananchi kulazimika kukimbia makazi yao kuokoa maisha. Wananchi walioathirika na mafuriko hayo sasa wanaomba msaada wa haraka wa chakula, mavazi na makazi, pamoja na hatua…
Daktari Yanga afichua majeraha ya Dube, Pacome
BAADA ya sintofahamu ya baadhi ya wachezaji wa Yanga kutokana na kukosekana kwenye baadhi ya mechi, daktari wa timu hiyo, Moses Etutu amezungumzia hali za wachezaji hao huku akimtaja Prince Dube. Yanga Jumapili iliyopita…
The Amazon College Watangaza Nafasi za Kazi Kwa Walimu wa Urembo na Hoteli
Global Publishers March 4, 2026 0 Comments The Amazon College inatafuta walimu wenye sifa na uzoefu kujiunga na taasisi yao katika fani zifuatazo: Mwalimu wa Ususi na Urembo (Hairdressing & Make Up) Walimu wa Hotel Management katika fani zifuatazo: Vigezo: Mwombaji awe na taaluma husika na uzoefu wa kufundisha au kufanya kazi katika sekta ya…