Mtaalamu sayansi, usalama wa mtandao atinga Tume

TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Machi 2, 2026 imekutana na Mtaalamu wa Uchunguzi wa Kisayansi na Usalama wa Mtandao, Yusuph Kileo. Mkutano huo wa Tume na Mchunguzi huyo umefanyika katika ukumbi wa Tanganyika uliopo jengo la Benki Kuu ya…

Read More

Kihongosi aonya viongozi wa CCM wanaodhulumu wananchi

Itilima. Mwananchi wa Kijiji cha Lagangabilili wilayani Itilima, mkoani Simiyu, Mzee Majija Madata amewasilisha malalamiko kwa Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, akidai kudhulumiwa shamba lake na mmoja wa viongozi wa CCM katika ngazi ya wilaya mkoani Shinyanga. Kihongosi yupo mkoani Simiyu tangu Machi 7, 2026 kwa ziara…

Read More

Kesi za wabunge Chato zaahirishwa, watuhumiwa wakwama kufika mahakamani

Geita. Kesi mbili zinazowakabili wabunge wawili wa majimbo ya Chato na baadhi ya madiwani, zimeahirishwa baada ya watuhumiwa kushindwa kufika mahakamani kwa sababu mbalimbali. Kesi hizo zinazowahusu Mbunge wa Chato Kusini, Paschal Lutandula na Mbunge wa Chato Kaskazini, Cornel Magembe pamoja na madiwani wanne akiwemo aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato, Bathoromeo Manunga,…

Read More

Rais Samia Afanya Uteuzi wa Viongozi wa Kibalozi na Taasisi

Global Publishers March 18, 2026 0 Comments Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi katika nafasi mbalimbali za kibalozi na taasisi, ikiwa ni sehemu ya kuimarisha utendaji wa serikali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Bakari S. Machumu, uteuzi huo unahusisha viongozi…

Read More

Moto wateketeza jengo la Mahakama Lugoba

Bagamoyo. Jengo la Mahakama ya Lugoba lililopo Wilaya ya Chalinze, Mkoa wa Pwani, limeteketea kwa moto usiku wa Aprili 6, 2026, huku chanzo cha tukio hilo kikiwa hakijajulikana. Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Salim Morcase, tukio hilo lilitokea majira ya saa 2:30 usiku na kusababisha uharibifu wa mali pamoja…

Read More

Shirika la hali ya hewa la Umoja wa Mataifa laonya kuhusu ‘kukosekana kwa usawa wa hali ya hewa’ huku ongezeko la joto la sayari likiongezeka – Masuala ya Ulimwenguni

Moto baada ya muongo unaowaka moto, wakala wa hali ya hewa wa Umoja wa Mataifa umesema kuwa hali ya hewa ya sayari hiyo “haipo sawa kuliko wakati wowote katika historia inayozingatiwa”. “Kati ya 2015 na 2025, tulishuhudia miaka 11 ya joto zaidi katika rekodi,” WMO‘s naibu katibu mtendaji Ko Barrett alisema. Mwaka jana ilikuwa 1.43…

Read More

MASHEKHE WAMPONGEZA MBUNGE LUTANDULA KUFUTURISHA WAISLAMU

Mbunge wa Jimbo la Chato Kusini,Pascal Lutandula …………. MASHEKHE wa Bakwata Jimbo la Chato Kusini wamepongeza matendo ya huruma yaliyoonyeshwa na Mbunge wa Jimbo hilo Pascal Lukas Lutandula baada ya kuwafuturisha waislamu wasiojiweza katika mwezi mtukufu wa Ramadhan. Pongezi hizo zimetolewa kwa nyakati tofauti katika Sikukuu ya Eid El-Fitr na Mashekhe wa misikiti ya Bakwata…

Read More