Kanuni kudhibiti maonyesho ya biashara yanayofanyika holela

Dar es Salaam. Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade) imekuja na kanuni maalumu ambazo zinalenga kuboresha mazingira ya ufanyaji biashara na kudhibiti baadhi ya vitendo vinavyoumiza wafanyabiashara ikiwemo kuandaa maonyesho yasiyoweza kuleta tija. Hayo yameelezwa katika kikao cha pamoja na wadau kilichoandaliwa na Tantrade kwa ajili ya kujadili kanuni hizo kilichofanyika leo Machi 11,…

Read More

Vigogo wa Iran waliouawa na Marekani-Israel

Kufuatia kuthibitishwa kwa mauaji ya Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, vyombo vya habari vya serikali nchini humo vimethibitisha kuuawa kwa viongozi kadhaa waandamizi wa serikali na familia ya Khamenei. Miongoni mwa waliouawa katika shambulizi la Jumamosi ni pamoja na Ali Shamkhani, mshauri wa usalama wa Khamenei, Jenerali Abdolrahim Mousavi, Mkuu wa Majeshi ya…

Read More

Hii ndiyo sababu – Masuala ya Ulimwenguni

Vingi vya vifo hivi vinaweza kuzuilika kwa njia zilizothibitishwa, za gharama ya chini na upatikanaji wa huduma bora za afya, ripoti inasisitiza. Kwa mara ya kwanza, uchambuzi unatoa picha kamili ya sio tu ni watoto wangapi wanakufa na wapi – lakini pia kwa nini, kwa kuunganisha kikamilifu makadirio ya kimataifa juu ya sababu za kifo….

Read More

Tanzania yasajili rasmi dawa mpya kudhibiti VVU

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imesajili rasmi dawa ya Lenacapavir kwa ajili ya kudhibiti na kuzuia maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), hatua inayotajwa kuleta mapinduzi katika tiba na kinga dhidi ya maambukizi hayo nchini. Dawa hiyo ya sindano inayozuia maambukizi ya VVU, yenye uwezo wa kutumika kama mbadala wa ARV’s kwa wenye maambukizi…

Read More

Faida ya Madini ya Afrika, Matumaini ya Tahadhari Huku Kukiwa na Misukosuko ya Kijiografia – Masuala ya Ulimwenguni

Ishara nje ya Metallon, moja ya wazalishaji wakubwa wa dhahabu wa Zimbabwe. Credit: Ignatius Banda/IPS na Ignatius Banda (bulawayo, zimbabwe) Jumatano, Machi 18, 2026 Inter Press Service BULAWAYO, Zimbabwe, Machi 18 (IPS) – Jicho la Afŕika katika madini kama ajenda ya kuwa-yote na-tiba kwa ajili ya ajenda ya maendeleo ya bara linajaribiwa na ustadi wa…

Read More