Siku ya Kimataifa ya Wanawake mwaka huu yatoa wito wa kumchagua mwanamke kama Katibu Mkuu ajaye – Masuala ya Kimataifa

Maoni na Anwarul K. Chowdhury (new york) Jumatatu, Machi 09, 2026 Inter Press Service NEW YORK, Machi 9 (IPS) – Tunapoadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake (IWD) mwaka huu, jumuiya ya kimataifa inafanya hivyo katika wakati wa kuendelea kwa misukosuko, migogoro na kutokuwa na uhakika kuhusu mustakabali wa sayari yetu. Nyakati kama hizi zinatukumbusha tena…

Read More

WATALAAM WA FEDHA SADC WAJADILI VYANZO VYA KUONGEZA BAJETI

::::::::: Kikao cha Kamati ya Fedha cha Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kinafanyika jijini Pretoria, Afrika Kusini Machi 09,  2026 kujadili hali ya fedha ya jumuiya hiyo muhimu katika mtangamano wa kikanda kusini mwa Afrika.  Watalaamu wa masuala ya fedha na bajeti kutoka Tanzania, wakiongozwa na Kamishna wa Fedha za Nje  katoka Wizara…

Read More

TADB YATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM ZANZIBAR

Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) leo Machi 9, 2026 imetembelea watoto wenye mahitaji maalum katika vituo viwili vya kulelea watoto Zanzibar kwa lengo la kuwafariji na kuwaunga mkono katika kipindi hiki cha mfungo mtukufu wa Ramadhani. Katika ziara hiyo, benki ilifika katika Kituo cha ZASO Children Home kilichopo Fuoni Mambo Sasa ambacho kina…

Read More

Uhamiaji yaanza kuuwinda ubingwa ZPL

WAKATI Ligi Kuu ya Zanzibar ikisimama kwa ajili ya kupisha mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani huku ikitarajiwa kuendelea Machi 28, 2026, Kocha Mkuu wa Uhamiaji, Abdul Saleh amesema timu hiyo itaanza mazoezi hivi karibuni. Alisema timu hiyo inajinoa kwa ajili ya kujiandaa na mechi 10 za mzunguko wa mwisho wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL)…

Read More

Yanga ilivyomchomoa kocha Uingereza | Mwanaspoti

KATIKA mpango wa kuibua na kuendeleza vipaji vya vijana, Yanga imeonyesha kuwa siriazi na jambo lake baada ya kumchomoa Kocha Mohamed Badru huko Uingereza ambako alikuwa akiinoa May & Baker F.C. Badru atakuwa kocha mkuu wa mradi wa Yanga Soccer School, uliozinduliwa Novemba 15, 2025, ukilenga kutafuta wachezaji wenye vipaji kati ya umri wa miaka…

Read More

Profesa Mahalu afariki dunia, aacha historia

Dar es Salaam. Profesa wa sheria na mwanadiplomasia nguli, Profesa Costa Mahalu (77) amefariki dunia. Taarifa kutoka kwa familia yake imethibitisha Profesa Mahalu amefariki dunia leo katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) alikokuwa akipatiwa matibabu. Hadi anafariki dunia, Profesa Mahalu alikuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu St Augustine akiendelea kutoa elimu ya sheria. …

Read More