Kigogo Mbeya City ashusha presha, asisitiza jambo

ACHANA na matokeo ya ushindi wa 3-2 waliopupata Mbeya City dhidi ya KMC, uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya umesema timu hiyo itarejesha makali yake licha ya kutoanza vyema Ligi Kuu Bara msimu huu. Mbeya City inamilikiwa na Halmashauri hiyo na haikuwa na mwanzo mzuri kwenye ligi na kuweka presha kwa mashabiki kuikatia tamaa…

Read More

Baba Levo, AG kidedea, mahakama yakataa nyaraka kukaguliwa

Kigoma. Mahakama Kuu Kigoma, imekataa maombi ya kukagua na kujiridhisha kuhusu nyaraka mbalimbali za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 katika jimbo la Kigoma Mjini. Nyaraka hizo ni pamoja na kujiridhisha juu ya uwepo wa nakala halisi ya daftari la wapiga kura lililotumiwa katika kila kituo cha uchaguzi kuidhinisha mpigakura, fomu za matokeo kwa kila…

Read More

Wawekezaji wanawake soko la hisa bado kiduchu

Dar es Salaam. Wakati zaidi ya Watanzania 800,000 wakiwa wamewekeza katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE), imeelezwa kuwa wanawake ni asilimia 35 ya wawekezaji katika soko hilo mpaka sasa. Hayo yameelezwa leo, Ijumaa Machi 6, 2026 na Ofisa Mtendaji Mkuu wa DSE, Peter Nalitolela, wakati wa hafla ya upigaji kengele maalumu inayolenga…

Read More

TBS YAWATAKA WAZALISHAJI WA MKAA MBADALA KUZINGATIA VIWANGO

Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limetoa mafunzo kwa wajasiriamali wanaozalisha nishati safi ya kupikia, hususan mkaa mbadala, mkoani Kigoma kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kuzalisha bidhaa zinazokidhi matakwa ya viwango. Mafunzo hayo yamelenga kuwasaidia wazalishaji hao kuboresha ubora wa mkaa mbadala wanaozalisha ili uweze kukidhi mahitaji ya soko la ndani na nje ya Tanzania….

Read More

RAIS DKT.SAMIA ATETA NA KATIBU MKUU JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI ANAYEMALIZA MUDA WAKE IKULU JIJINI DAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) anayemaliza muda wake, Bi. Veronica Nduva, tarehe 28 Februari, 2026 Ikulu, Jijini Dar es Salaam. Pamoja na masuala mengine, Katibu Mkuu ambaye anamaliza muda wake alimshukuru Mheshimiwa Rais na Serikali ya Jamhuri ya…

Read More

Vibanda 72 vyafungwa Mbozi, wafanyabiashara wagoma

Songwe. Jumla ya vibanda 72 vinavyozunguka Soko la Ichenjezya, wilayani Mbozi Mkoa wa Songwe, vimefungwa na maofisa mapato wa halmashauri kufuatia mgogoro wa malimbikizo ya kodi ya pango. Hatua hiyo imeelezwa kuchochewa na madai ya kutolipwa kwa kodi tangu mwaka 2021 katika vibanda hivyo. Kufungwa kwa vibanda hivyo kumesababisha wafanyabiashara 167 wanaofanyia biashara ndani ya…

Read More