Kigogo Mbeya City ashusha presha, asisitiza jambo
ACHANA na matokeo ya ushindi wa 3-2 waliopupata Mbeya City dhidi ya KMC, uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya umesema timu hiyo itarejesha makali yake licha ya kutoanza vyema Ligi Kuu Bara msimu huu. Mbeya City inamilikiwa na Halmashauri hiyo na haikuwa na mwanzo mzuri kwenye ligi na kuweka presha kwa mashabiki kuikatia tamaa…