Iran Yathibitisha Kuuawa kwa msemaji wa IRGC katika shambulizi la kushtukiza
Global Publishers March 20, 2026 0 Comments Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (Islamic Revolutionary Guard Corps) limethibitisha kifo cha msemaji wake, Brigedia Jenerali Ali Mohammad Naini, kufuatia shambulizi lililoripotiwa kufanyika alfajiri ya leo na kuhusisha vikosi vya Marekani kwa ushirikiano na Israel. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na IRGC leo Ijumaa,…