Iran Yathibitisha Kuuawa kwa msemaji wa IRGC katika shambulizi la kushtukiza

Global Publishers March 20, 2026 0 Comments Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (Islamic Revolutionary Guard Corps) limethibitisha kifo cha msemaji wake, Brigedia Jenerali Ali Mohammad Naini, kufuatia shambulizi lililoripotiwa kufanyika alfajiri ya leo na kuhusisha vikosi vya Marekani kwa ushirikiano na Israel. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na IRGC leo Ijumaa,…

Read More

PWANI KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE IKWIRIRI

Na Khadija Kalili, Kibaha MKOA wa Pwani unaungana na Mikoa mingine nchini kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani tarehe 8 Machi 2026 maadhimisho hayo Kimkoa yatafanyika katika Uwanja wa Ujamaa wa Ujamaa, Kata ya Umwe, Tarafa ya Ikwiriri, Halmashauri ya Mji Rufiji. Mratibu wa maadhimisho hayo Mkoa wa Pwani, Roseline Kimaro, amesema mgeni rasmi anatarajiwa kuwa…

Read More

Sababu walimu wa diploma kufundisha shule za msingi

Dar es Salaam. Katika hatua inayotarajiwa kubadili mwelekeo wa ubora wa elimu nchini, Serikali inatarajia kuanza kuwapanga walimu wapya kulingana na viwango vyao vya elimu huku walimu wanaohitimu stashahada (diploma) wakielekezwa moja kwa moja kufundisha katika shule za msingi. Mpango huo ni sehemu ya utekelezaji wa Sera ya Elimu ya mwaka 2014, toleo la mwaka…

Read More

MWENYEKITI WA KAMATI YA TEITI ATEMBELEA MGODI WA DHAHABU WA GEITA, AAHIDI USHIRIKIANO NA WADAU WOTE

📍Geita. Mwenyekiti wa Kamati ya TEITI, Balozi Wilson Masilingi, ametembelea Mgodi wa Dhahabu wa Geita Gold Mining Limited akiambatana na Menejimenti ya TEITI, kwa lengo la kujitambulisha na kufanya mazungumzo na menejimenti ya mgodi huo. Akizungumza wakati wa ziara hiyo, Balozi Masilingi alisema ziara hiyo imelenga kujenga na kuimarisha ushirikiano kati ya TEITI na wadau…

Read More

Magori Afunguka Sakata la Mpanzu, Asema Hana Mgomo wa Mkataba

Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Crescentius Magori. Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Crescentius Magori, amejitokeza na kutoa ufafanuzi kuhusu hali ya wachezaji Mpanzu na Loemba pamoja na masuala ya usajili yanayozunguka klabu hiyo, akikanusha baadhi ya taarifa zilizosambaa mitandaoni. Akizungumza, Magori ameeleza kuwa Mpanzu hana mgomo wowote unaohusiana na mkataba wake mpya, bali bado ana…

Read More

Serengeti Apple Yanogesha Pasaka kwa Mandhari, Ladha na Vibe ya Kipekee Dar es Salaam

Bakari Mahundu April 8, 2026 0 Comments Kama sehemu ya maadhimisho ya sikukuu ya Pasaka kote nchini, Serengeti Apple iliandaa premium brunch experience maalum mwishoni mwa wiki katika hoteli ya Serena Hotel Dar es Salaam, ikiwapatia wageni waalikwa uzoefu wa kipekee ulioendana na shamrashamra za sikukuu hiyo. Likiwa limeandaliwa katika mazingira ya kifahari yenye mandhari…

Read More