SAMIA SCHOLARSHIP EXTENDED SASA YAENDA HADI NGAZI YA SHAHADA YA UZAMILI (MASTERS)
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Adolph Mkenda afungua mlango wa mazungumzo kwa Taasisi na Makampuni mbalimbali kuunga mkono juhudi za Rais Dkt Samia kusomesha Wanafunzi wanaofanya vizuri katika masomo ya Sayansi kutoka ngazi ya awali ya kidato cha sita hadi ngazi ya Shahada ya Uzamili kwani Wizara imejipanga vizuri kuhakikisha fedha watakazotoa zinakwenda…
Wananchi Makambako wakubali mradi wa umwagiliaji, wadai uhakika wa umiliki ardhi
Njombe. Baada ya miezi ya hofu na sintofahamu kuhusu hatima ya ardhi yao, hatimaye wananchi wa mitaa ya Kihanga, Idofi, Kikula na Kipagamo katika Halmashauri ya Mji wa Makambako mkoani Njombe wamekubali utekelezaji wa mradi wa kilimo cha umwagiliaji katika eneo la Balali lenye ukubwa wa takribani ekari 1,300. Hata hivyo, pamoja na kuunga mkono…
PWANI KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE IKWIRIRI
Na Khadija Kalili, Kibaha MKOA wa Pwani unaungana na Mikoa mingine nchini kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani tarehe 8 Machi 2026 maadhimisho hayo Kimkoa yatafanyika katika Uwanja wa Ujamaa wa Ujamaa, Kata ya Umwe, Tarafa ya Ikwiriri, Halmashauri ya Mji Rufiji. Mratibu wa maadhimisho hayo Mkoa wa Pwani, Roseline Kimaro, amesema mgeni rasmi anatarajiwa kuwa…
Nani kujaza nafasi ya Kiongozi Mkuu wa Iran?
Kuuawa kwa Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei katika mashambulizi ya anga ya Marekani na Israel, kumeiweka Iran njia panda wakati uongozi wa juu wa nchi hiyo ukianza mchakato wa kumtafuta mrithi wake. Viongozi kadhaa waandamizi waliokuwa karibu na Khamenei pia wameripotiwa kuuawa katika shambulizi hilo, akiwemo mshauri wake mkuu wa usalama, Ali Shamkhani,…
Sauti zilizotikisa Taifa na vipindi vilivyokonga nyoyo RTD
Awali ya yote, “Mzee wa Atikali” napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu Raheem kwa kuniruzuku uhai Jumamosi kuntu ya leo. Kuamkia alfajiri ya leo, mvua kubwa imelinyea jiji la Bandari Salama ikiambatana na mirindimo mikali ya radi ambapo mara ya mwisho mirindimo mikali namna hii kusikika, Morogoro Road na Ali Hassan Mwinyi Road zilikuwa ni barabara za…
Piga Pesa Mechi Zote na Meridianbet Leo
Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet kwenye simu yako ni rahisi sana kutengeneza pesa?. Mechi kibao zipo kuhakikisha huondoki patupu hapa suka jamvi lako sasa na uanze kubashiri hapa. LIGUE 1 kule Ufaransa itaendelea Lens atamenyana dhidi ya Metz ambao wapo nafasi ya mwisho kwenye msimamo wa ligi. Mwenyeji anahitaji ushindi siku ya leo baada…
Kafulila – ”Kardinali Pengo Aliamini Umoja wa Kitaifa Bila Kujali Upepo wa Kisiasa”
Bakari Mahundu February 26, 2026 0 Comments Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia kati ya Serikali na Sekta Binafsi (PPP Centre), David Kafulila, amesema aliyekuwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki nchini, Kardinali Polycarp Pengo, atakumbukwa kama kiongozi wa dini aliyeamini na kusimamia umoja wa kitaifa bila kujali upepo wa kisiasa wa wakati husika. Kafulila amesema Kardinali Pengo…
Wanafunzi Wanufaika na Mradi wa Vyoo vya Kisasa Simiyu na Mara
Simiyu & Mara, Tanzania 17Machi 2026: Taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation kwa kushirikiana na wadau wake wakiwemo Stanbic Bank Tanzania pamoja na waandaaji wa msafara wa Twende Butiama, wamekabidhi rasmi miundombinu ya vyoo katika Shule za Msingi Sima A iliyopo Bariadi mkoani Simiyu pamoja na Shule ya Msingi Madaraka iliyopo Butiama mkoani Mara. Mradi huo…
Vijana Tanzania Hawajaathirwa na Changamoto ya Afya ya Akili – Ripotii
, Ripoti mpya ya kimataifa imeitaja Tanzania kushika nafasi ya tano duniani kwa kuwa kizazi cha vijana ambao hawajaathiriwa na changamoto ya afya ya akili, ikizipita nchi za Ulaya, Amerika, Asia na Kusini mwa Jangwa la Sahara. Kwa mujibu wa matokeo hayo yaliyotangazwa Washington DC kufuatia utafiti uliofanywa na taasisi ya Sapien Labs, vijana barani…