Soko jipya Kawe lakamilika, wafanyabiashara kicheko
Dar es Salaam. Wafanyabiashara wa Soko la Kawe wameanza kupata matumaini mapya baada ya Serikali kutangaza kukamilika kwa ujenzi wa soko jipya la muda kufuatia soko la awali kuteketea kwa moto. Hatua hiyo inatarajiwa kuwapa nafuu wafanyabiashara waliopoteza maeneo yao ya biashara kwa tukio la moto kwa sasa kuwaruhusu kuingia eneo lililoboreshwa kuendelea na shughuli…