Iran Yathibitisha Kuuawa kwa Mkuu wa Usalama Ali Larijani
Global Publishers March 18, 2026 0 Comments Serikali ya Iran kupitia vyombo vyake vya habari imekiri rasmi kifo cha Ali Larijani, aliyekuwa Mkuu wa Baraza la Taifa la Usalama (Supreme National Security Council). Hii ni mara ya kwanza kwa mamlaka za Tehran kuthibitisha taarifa hizo baada ya siku kadhaa za ripoti kutoka vyanzo vya kimataifa…