Ulaji wadudu unavyopata umaarufu | Mwananchi

Dar es Salaam.  Katika dunia inayokabiliwa na changamoto za uhaba wa chakula na lishe duni, wataalamu wa afya na lishe wameendelea kuangazia ulaji wa wadudu kama suluhisho mbadala lenye manufaa makubwa kiafya.  Ingawa kwa baadhi ya jamii ulaji wa wadudu bado huonekana kuwa jambo geni, ukweli ni kwamba kwa muda mrefu wadudu wamekuwa sehemu ya…

Read More

Kardinali Rugambwa Aongoza Makardinali Kutolewa Heshima za Mwisho Mwili wa Pengo

Global Publishers February 27, 2026 0 Comments Mwadhama Protase Kardinali Rugambwa, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Tabora, amewaongoza makardinali wenzake kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa Marehemu Mwadhama Polycarp Pengo, aliyekuwa Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam. Katika tukio hili la kihistoria, Kardinali Rugambwa aliongozana na Fridolin Cardinal…

Read More

ZPL kuongezwa thamani kuitangaza Zanzibar

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema lengo la kuwekeza fedha nyingi kwenye sekta ya michezo ni kuhakikisha inakuwa msingi unaowezesha kukuza vipaji, kuongeza ushindani na kuifikisha Zanzibar katika viwango vya kimataifa. Hayo yalielezwa na Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi wakati alipokutana na uongozi wa taasisi ya Tanzania Securities Limited, Ikulu mjini Zanzibar….

Read More

Uwakilishi wa wanawake bungeni unaona mafanikio ya kizembe – Global Issues

Ripoti hiyo yenye kichwa Wanawake bungeni 2025 iliyotolewa mbele Siku ya Kimataifa ya Wanawake mnamo tarehe 8 Machi, pia iligundua kuwa uongozi wa wanawake bungeni ulishuka na wanawake kushikilia spika 12 kati ya 75 walioteuliwa hivi karibuni. Wakati huo huo, mgawo ulitambuliwa kama “jukumu muhimu” katika kukuza uwakilishi wa wanawake katika nchi 49 zilizofanya uchaguzi…

Read More

Bayern Munich Wajipanga Kushinda Makombe Yote Msimu Huu

Wababe wa Ujerumani Bayern Munich wameendelea kuthibitisha ukubwa wao msimu huu baada ya kuendelea kufanya vyema kwenye michuano yote. Je msimu huu wanaweza kuibuka na mataji mangapi? Katika ligi ya Bundesliga, Bayern Munich imeonyesha ubora mkubwa kuanzia mwanzo wa msimu huku safu yao ya ushambuliaji ikiwa na makali makubwa ambayo inaongozwa na Harry Kane. Timu…

Read More

Mbinu za usafiri wa bodaboda zinavyohatarisha maisha

Dar es Salaam. Ni jioni yenye msongamano Jijini Dar es Salaam, wakati ambao kila mtu akihangaika kurudi nyumbani kwa kutumia usafiri wa umma, na hapo pikipiki ‘bodaboda’ inaonekana kama njia ya haraka. Bodaboda zinaonekana suluhisho kutokana na kuweza kupenya maeneo mbalimbali, hivyo kutokaa foleni kama ilivyo kwa vyombo vingine kama magari na bajaji. Hata hivyo,…

Read More