Ngoy awekewa mkataba mpya Namungo

WAWAKILISHI wa mshambuliaji wa Namungo FC, Mkongomani, Fabrice Ngoy wamepokea mkataba mpya kutoka kwa uongozi wa kikosi hicho cha Wauaji wa Kusini ambao wanataka wakamilishe dili hilo mapema, kabla ya msimu huu wa 2025-2026, haujaisha. Mshambuliaji huyo aliyeitumikia Namungo kwa misimu mitatu, mkataba wake wa sasa unafikia ukomo mwishoni mwa msimu huu wa 2025-2026, ambapo…

Read More

Hekaheka ya kusaka maji kilomita 24 Handeni

Tanga. Wakati maji yakigeuka lulu kwa wakazi wa Mkata Magharibi, wilayani Handeni, mkoani Tanga, kwa Sadick Idd, safari ya kuyafuata imegeuka chanzo cha maumivu na msongo wa mawazo. Idd anasimulia Januari 21, 2026 alipata ajali alipofuata maji kwenye Bwawa la Sua, akiwa na baiskeli iliyobeba madumu matano. “Sikuwa na namna tangu Julai 2025 hatuna maji. …

Read More

Vivuko vya Gaza vimefungwa, mapigano nchini Sudan yaendelea, waathiriwa wa tetemeko la Afghanistan – Masuala ya Ulimwenguni

Akizungumza katika kikao cha kawaida cha mchana mjini New York siku ya Jumatatu, Msemaji wa Umoja wa Mataifa Stéphane Dujarric alisema kuwa mamlaka ya Israel imefunga vivuko vyote na kusimamisha harakati za kibinadamu. Mizunguko iliyopangwa ya wafanyikazi wa kibinadamu, uhamishaji wa matibabu na kurejea kwa watu huko Gaza pia kumesitishwa. ‘Mtiririko thabiti’ wa misaada muhimu…

Read More

Straika Muivory Coast afichua ofa za Yanga, Simba

SIMBA ilikuwa ya kwanza kuiwania saini ya mshambuliaji wa ASEC Mimosas ya Ivory Coast, Souleymane Fofana, lakini ghafla watani zao wa jadi, Yanga wakaingilia kati nao wakihitaji huduma ya nyota huyo. Wakati klabu hizo kongwe zikipambana kuwania saini ya mshambuliaji huyo ambaye yuko kwenye fomu kubwa ya kiwango msimu huu, mwenyewe amefichua tayari amejulishwa juu…

Read More

Mtoto wa miaka 12 ajinyonga baada ya kukemewa Morogoro

  Mtoto mwenye umri wa miaka 12, Rajabu Ally Mohammed, mkazi wa Ijava wilayani Gairo mkoani Morogoro, amefariki dunia kwa kujinyonga baada ya kukemewa na wazazi wake kufuatia tuhuma za kujihusisha na vitendo vya udokozi. Kamanda wa Polisi mkoani Morogoro, Alex Mkama, amesema tukio hilo limegundulika  Machi 23, 2026 katika kitongoji cha Kaloleni, kata ya…

Read More

Vigogo wa Iran waliouawa na Marekani-Israel

Kufuatia kuthibitishwa kwa mauaji ya Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, vyombo vya habari vya serikali nchini humo vimethibitisha kuuawa kwa viongozi kadhaa waandamizi wa serikali na familia ya Khamenei. Miongoni mwa waliouawa katika shambulizi la Jumamosi ni pamoja na Ali Shamkhani, mshauri wa usalama wa Khamenei, Jenerali Abdolrahim Mousavi, Mkuu wa Majeshi ya…

Read More