Sababu Rais wa Rwanda, DRC kutohudhuria mkutano wa EAC
Arusha. Zikiwa zimebaki dakika chache kuanza kwa mkutano wa 25 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Rais wa Rwanda, Paul Kagame, na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Félix Tshisekedi, hawajawasili jijini Arusha. Katika mkutano huo, jumla ya Wakuu wa Nchi wanane wa Jumuiya ya Afrika Mashariki…