KUTOKA KANISANI HADI SHAMBANI: SIMULIZI YA SISTA ALIYENOLEWA NA PROGRAMU YA TAIFA YA KUKUZA UJUZI
Na: Mwandishi Wetu – Rukwa Katika kuta za utulivu za Chuo cha Kilimo na Mifugo cha Kanisa Katoliki kilichopo Laela, mkoani Rukwa, sauti ya shukrani imesikika kutoka kwa mtawa mmoja aliyepata fursa ya kipekee ya kujinoa kupitia Programu ya Taifa ya Kukuza Ujuzi (Uanagenzi). Mtawa Vestina Damian ambaye sasa amekuwa ishara ya matumaini na weledi,…