Rais Hussein Ali Mwinyi Ashiriki Swala ya Eid al-Fitr Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amejumuika na waumini wa dini ya Kiislamu katika ibada ya Sala ya Eid al-Fitr iliyosaliwa leo, tarehe 21 Machi 2026, katika Msikiti wa Jamiu Zanjibar, Kiembe Samaki, Mkoa wa Mjini Magharibi. Waumini wa dini ya Kiislamu wanasherehekea Sikukuu ya Eid al-Fitr…