Chadema yaiambia UN mabadiliko ya kikatiba muhimu Tanzania
Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemweleza Mwakilishi maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa(UN) kuwa msimamo wa chama hicho ni uchunguzi huru ufanyike ili wale wote waliobainika kuhusika na vurugu za Oktoba 29,2025 zilizosababisha vifo na majeruhi wawajibishwe. Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa jana Jumanne Machi 10,2026 Chadema,…