Serikali Yazindua Mtumiaji App Kuimarisha Mawasiliano na Kulinda Watumiaji Nchini

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Agellah Jasmine Kairuki, amezindua rasmi mfumo wa kidijitali wa kuhudumia watumiaji wa huduma za mawasiliano ujulijanao kama Mtumiajiapp ulioandaliwa na TCRA-CCC , leo Tarehe 23/03/2024 katika ukumbi wa Millennium Towers uliopo jijini Dar es Salaam. Uzinduzi huo umehudhuriwa na wadau wa sekta ya mawasiliano pamoja na wananchi mbalimbali….

Read More

Cheza Leo, Pata Zawadi Kesho Na Win&Go Lucky Loser

MARA nyingi wabashiri wa michezo ya kasino hukutana na changamoto ya kupoteza licha ya kuchagua mchezo kwa umakini mkubwa. Lakini kupitia ubunifu wa Win&Go Lucky Loser, Meridianbet inaleta matumaini mapya kwa soko la wachezaji kwa kugeuza hasara ya leo kuwa ushindi wa kesho. Huu ni mfumo maalum unaobadilisha tiketi zisizofanikiwa kuwa fursa ya kujishindia hadi…

Read More

Tanzania yasajili rasmi dawa mpya kudhibiti VVU

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imesajili rasmi dawa ya Lenacapavir kwa ajili ya kudhibiti na kuzuia maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), hatua inayotajwa kuleta mapinduzi katika tiba na kinga dhidi ya maambukizi hayo nchini. Dawa hiyo ya sindano inayozuia maambukizi ya VVU, yenye uwezo wa kutumika kama mbadala wa ARV’s kwa wenye maambukizi…

Read More

Safari ya milima na mabonde ya wanawake Tanzania

Dar es Salaam. Zaidi ya nusu karne tangu kuanzishwa kwa maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Tanzania imepiga hatua kadhaa katika kuinua nafasi ya wanawake katika nyanja mbalimbali za kijamii na kiuchumi. Hata hivyo, pamoja na mafanikio hayo, changamoto kama mfumo dume, ukosefu wa fursa sawa na vitendo vya ukatili wa kijinsia bado vinaendelea kuwa…

Read More

TANZANIA NA ALGERIA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA OLIMPIKI

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman Njalikai, alikutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Chama cha Kamati za Kitaifa za Olimpiki za Afrika (ANOCA), Bwa. Mustapha Berraf, tarehe 01 Machi, 2026, katika Ofisi za Michezo ya Vijana Afrika, jijini Algiers. Kupitia mazungumzo hayo, wawili hao walijadili kuhusu namna ya kuimarisha…

Read More