Dhamira ya mwanaharakati mchanga wa Kijapani kushiriki hadithi za walionusurika kwenye bomu la atomiki – Masuala ya Ulimwenguni

Suzuka Nakamura kutoka mji wa kusini mwa Japani wa Nagasaki, ambao pamoja na Hiroshima, ulilengwa na bomu la atomiki mwishoni mwa Vita vya Kidunia vya pili, amedhamiria kuunda jumba la makumbusho kuleta hadithi za hibakusha (walionusurika kwenye bomu la atomiki) kwa jamii zilizo mbali zaidi ya miji hiyo miwili. Bi. Nakamura, ambaye bibi yake alikuwa…

Read More

TANZANIA YAADHIMISHA MIAKA 5 YA HAYATI DKT JOHN POMBE MAGUFULI

Leo Tanzania inaadhimisha miaka mitano tangu kuondoka kwa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli nyumbani kwake wilayani Chato mkoani Geita nhuku Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwa ameshawasili tayari kuongoza maadhimisho hayo ya kitaifa. Maadhimisho haya yanatarajiwa kupambwa na Misa Takatifu itakayofanyika…

Read More

Josiah atambia rekodi mpya Dodoma

KOCHA Mkuu wa Dodoma Jiji, Amani Josiah, amesema suluhu (0-0), iliyoipata timu hiyo juzi dhidi ya Simba ni kutokana na wachezaji wa kikosi hicho cha ‘walima Zabibu’, kufuata vyema maelekezo yake ya kucheza kwa nidhamu kubwa na kwa heshima. Akizungumza na Mwanaspoti, Josiah, alisema haikuwa mechi rahisi kutokana na jinsi wapinzani wao walivyokuwa wanacheza, ingawa…

Read More

Rais Samia atahadharisha uhuru wa kuabudu usivuke mipaka

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itaendelea kulinda uhuru wa kila Mtanzania kuabudu kulingana na imani yake, huku akisisitiza umuhimu wa kuheshimu mipaka ya uhuru huo ili kudumisha amani na mshikamano wa taifa. Ameyasema hayo leo Jumamosi, Machi 21, 2026 wakati akishiriki Baraza la Idd El-Fitr lililofanyika jijini Dar es Salaam. Akizungumza…

Read More

MAKAMU WA RAIS DKT .NCHIMBI ATOA WITO KWA WIZARA NA SEKTA ZA MAZINGIRA KUFANYA KAZI KWA USHIRIKIANO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ametoa wito kwa Wizara zinahusiana na Sekta ya Mazingira, kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuwa na mpango wa pamoja utakaowezesha uhifadhi endelevu wa mazingira. Makamu wa Rais ametoa wito huo, wakati akifanya mazungumzo na Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Ashatu Kijaji,…

Read More