Rais Mwinyi Awasisitiza Waumini Kuendeleza Maadili Mema Baada Ya Ramadhani
Global Publishers March 20, 2026 0 Comments Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewasisitiza waumini wa dini ya Kiislamu kuyaendeleza mambo yote mazuri waliyokuwa wakiyatekeleza wakati wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Rais Dkt. Mwinyi ameyasema…