Cornel amrithi Almas Kasongo TPLB

ALIYEKUWA mkurugenzi wa Fedha wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Cornel Barnabas, ameteuliwa kuwa ofisa mtendaji mkuu wa Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB). Tangu Juni, mwaka jana, nafasi hiyo ilikuwa ikikaimiwa na Ibrahim Mwayela baada ya rais wa TFF, Wallace Karia kumsimamisha aliyekuwa akihudumu katika nafasi hiyo, Almas Kasongo, kufuatia mgogoro ulioibuka baada…

Read More

Sababu 10 Zinazoua Biashara Mpya Kabla Hazijafika Mwaka Mmoja

Kuanza biashara ni hatua ya ujasiri inayohitaji ndoto, mtaji na mipango. Hata hivyo, takwimu na uhalisia vinaonyesha kuwa zaidi ya nusu ya biashara mpya hufa ndani ya miaka miwili ya kwanza. Swali muhimu ni: Kwa nini watu wengi wanaanguka hata baada ya kuanzisha biashara waliyoamini inaweza kuwapa mafanikio? Makala hii inachambua chanzo cha changamoto hizo—ikiungwa…

Read More

Januari Makamba Atoa futari kwa taasisi za dini Tanga.

Na Mashaka Mhando, TANGA MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Januari Makamba, ametoa msaada wa futari kwa taasisi nane za kidini jijini Tanga, ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono waumini katika mwezi mtukufu wa Ramadhan. Zoezi hilo lililofanyika Leo Machi 16 Jijini Tanga, limenufaisha taasisi za TAMTA, Maawal Chumbageni, Zahara Rashad, Shamsi…

Read More

Mtihani wa makipa wazawa | Mwanaspoti

KIPA wa Mashujaa FC, Patrick Munthali ndiye aliyekuwa kinara wa clean sheet akifikisha 12 kwa wazawa msimu uliopita Ligi Kuu Bara, ambapo amezungumzia ugumu wa kuifikia rekodi hiyo. Munthali amesema alipata na majeraha, hivyo katika mechi sita dhidi ya Singida Black Stars, Pamba Jiji, Simba, KMC na Tanzania Prisons ndizo alipata cleansheets moja anayomiliki msimu…

Read More

Barnabas aanika mipango Transit | Mwanaspoti

KOCHA mpya wa Transit Camp, Vicent Barnabas amesema ataendelea kusimamia malengo ya timu hiyo ya kuhakikisha inapanda Ligi Kuu Bara msimu huu, licha ya ushindani mkubwa uliopo katika Ligi ya Championship, hususani mechi hizi za mwishoni. Akizungumza na Mwanaspoti, Barnabas, amesemalicha ya kukabidhiwa majukumu hayo makubwa, ila jambo analojivunia ni kukaa na timu hiyo kwa…

Read More

Nyuma ya pazia mauzo ya ngozi nchini yazidi kupaa nje ya nchi

Thamani ya ngozi mbichi zilizouzwa sokoni imeongezeka kwa asilimia 35.3 na kufikia Sh3.823 bilioni katika robo mwaka ulioishia Septemba 2025, Ripoti ya uchumi wa kikanda ya Benki Kuu (BoT) inaeleza. Ripoti hiyo inayoangazia ufanisi katika robo mwaka ulioishia Septemba 2025 inaeleza kuwa utendaji huo ulichangiwa kwa kiasi kikubwa na jitihada zinazoendelea za serikali kutoa mafunzo…

Read More

Museven achaguliwa mwenyekiti mpya EAC

Arusha. Rais wa Uganda Yoweri Museveni amechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa kipindi cha mwaka mmoja kuanzia Machi 2026 hadi 2028, akichukua mikoba kwa Rais wa Kenya William Ruto aliyemali muda wake. Museveni amechaguliwa leo Jumamosi, Machi 7, 2026 katika Mkutano wa kawaida wa 25 wa wakuu wa nchi wa…

Read More

Kombe la Dunia linapokaribia, ukumbusho wa uwezo wa michezo kujenga madaraja na kuvunja vizuizi – Global Issues

Wanasoka wasomi watapamba vichwa vya habari msimu huu wa joto, lakini mchezo unaweza kuwa na athari ya mageuzi katika kila jamii, kuunganisha jamii katika mipaka na vizazi, na kuunda nafasi za mazungumzo, mshikamano na kuheshimiana. Katika muda wa miezi miwili tu, mashindano makubwa zaidi ya michezo duniani yataanza katika Jiji la Mexico na, kama kawaida,…

Read More