ONGEA NA ANTI BETTI: Mchumba wangu ‘kilaza’ wa teknolojia, nifanyeje?
Nina mchumba, hivi karibuni nilipata nafasi ya kumtembelea mahali akiwa na rafiki zake nilichojifunza hajui vitu vingi kwani hata vitu vya kawaida alikuwa akishangaa hasa kuhusu teknolojia. Najiuliza hata simu yake ya mkononi huwa anaitumia kupiga tu au vipi. Kwani hajui hata vitu vinavyopatikana kwenye simu. Pia kingine rafiki zake wanamuelekeza kila mara kwa maana…