Deni la Taifa Marekani Laendelea Kupaa, Lafikia Zaidi ya TSH Trilioni 100,000 Vita Iran Yatajwa
Deni la taifa la nchi la Marekani limefikia kiwango cha kihistoria cha dola trilioni 39 sawa na zaidi ya TSH trilioni 100,000, hatua inayokuja wiki chache tu tangu kuanza kwa vita kati ya Marekani, Israel na Iran. Kwa mujibu wa taarifa kutoka Associated Press, ongezeko hilo linaakisi shinikizo kubwa la matumizi ya serikali, likijumuisha gharama…