PROF. SHEMDOE, BALOZI WA TANZANIA UFARANSA, WAJADILI MIKAKATI KUVUTIA UWEKEZAJI BONDE LA MSIMBAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amekutana na Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa, Mhe.Ali Mwadini, kujadili mikakati ya kuvutia na kutafuta wawekezaji katika eneo la Bonde  la Msimbazi lililopo jijini Dar es Salaam. Katika mazungumzo hayo, viongozi hao wamekubaliana kuwa na mpango madhubuti wa kutafuta wawekezaji wa kimataifa…

Read More

Je, WWIII hapa? – Masuala ya Ulimwenguni

Vita vya Russo-Ukrainian, vilivyoanza Februari 2014, havionyeshi dalili za kumalizika. Credit: UNOCHA/Dmytro Filipskyy Maoni na Nickolay Kapitonenko (Kyiv, Ukraine) Alhamisi, Machi 19, 2026 Inter Press Service KYIV, Ukraine, Machi 19 (IPS) – Inazidi kuwa vigumu kupuuza mvutano, ghasia na kutokuwa na uhakika duniani katika miaka ya hivi karibuni. Idadi ya vita inaongezeka, pesa nyingi zaidi…

Read More

Israel Yashambulia Makao Makuu ya Jeshi la Iran mjini Tehran

Global Publishers March 4, 2026 0 Comments Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) limethibitisha mashambulio dhidi ya makao makuu ya kijeshi ya Iran mjini Tehran, huku Qatar ikipata mashambulio ya makombora mawili ya masafa marefu, bila kuarifiwa kuhusu majeruhi. Msemaji wa IDF, Avichay Adraee, amesema kwamba mashambulio hayo yamelenga makao makuu ya Basij, kikosi cha…

Read More

WANAFUNZI WA MADRASA ,WAALIMU KUTOKA KONDOA WATHIBITISHA KWA MUNGU HAKUNA KUBWA NGORONGORO

Mwenyezi Mungu akitaka jambo litokee  hutokea ndivyo ilivyotokea, uumbwaji wa Kasoko ya Ngorongoro zaidi ya miaka milioni 2.5 iliyopita ambapo mlima mrefu uligeuzwa kuwa bonde la Ngorongoro. Wanafunzi wa madrasa kutoka jimbo la Kondoa mkoani Dodoma pamoja na walimu wao wameshuhudia uwezo huo wa Mwenyezi Mungu walipotembelea hifadhi ya Ngorongoro katika ziara iliyoandaliwa na mbunge…

Read More

NAIBU WAZIRI SALOME AIBANA KAMPUNI YA DONGFANG KWA KASI ISIYORIDHISHA MRADI WA UMEME MALAGARASI

::::::::: Naibu Waziri wa Nishati, Mhe.Salome Makamba leo amekagua utekelezaji wa mradi wa kuzalisha umeme wa Malagarasi (MW 49.5) unaotekelezwa katika Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma ambapo ameeleza kutoridhishwa kwake na kasi ya utekelezaji. Akiwa katika Kijiji cha Mazungwe wilayani Uvinza Mhe Salome amekagua sehemu mbalimbali za mradi ikiwemo ujenzi wa tuta na uchepushaji mto,…

Read More

TIB, UNDP Waingia Ubia wa Kimkakati Kukuza Uchumi Jumuishi na Endelevu

Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya Maendeleo (TIB), Deogratius Kwiyukwa  na  Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Shigeki Komatsubara wakisaini hati ya Makubaliano (MoU) itakayolenga kuendeleza mifumo bunifu ya ufadhili wa maendeleo, hatua inayotarajiwa kuchochea mageuzi ya kijamii na kiuchumi nchini. Mikataba huo umesainiwa leo Machi 17, 2026 jijini Dar es Salaam.  Mkurugenzi…

Read More

Airtel Yaonesha Mchango Mkubwa Uchumi wa Kidijitali kwenye MIF 2026

Arusha, Tanzania – Airtel Tanzania imeendelea kuimarisha nafasi yake kama mshirika muhimu katika mabadiliko ya uchumi na maendeleo ya kidijitali nchini, kufuatia ushiriki wake katika Mkutano wa Minority Interest Forum (MIF) 2026, ambapo kampuni hiyo iliwasilisha mafanikio yake ya kifedha, uwekezaji unaoendelea, pamoja na mchango wake kwa mapato ya Serikali. Mkutano huo, ulioandaliwa na Office…

Read More