NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI NA RAIS WA RED CROSS TANZANIA DAVID KIHENZILE ATEMBELEA OFISI ZA RED CROSS AFRIKA KUSINI

JOHANNESBURG: Naibu Waziri wa Uchukuzi, ambaye pia ni Rais wa Red Cross Tanzania David Kihenzile, ametembelea ofisi za Red Cross jijini Johannesburg, ambako alikutana na viongozi wakuu wa Southern African Red Cross Society akiwemo rais na katibu mkuu, na kujadili namna bora ya kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Afrika Kusini, hususan katika kuendeleza shughuli…

Read More

Mamilioni ya Waafrika wako hatarini kupata kisukari

Wataalamu wanaonya kuwa ugonjwa huo unaweza kuwa utafiti zaidi zaidi ya watu katika miongo ijayo kama vyanzo vinavyosababisha havitafanyiwa kazi. Mlinzi Sibusiso Sithole, mwenye umri wa miaka 51, alipogunduliwa kuwa ana aina ya aina ya Type 2 miaka 13 ilikua mshtuko kwake. Alikuwa akitembea mail sita kila siku kwenda na kutoka kazini kila siku ,…

Read More

Aliyechezesha Dabi ya Kariakoo apewa Kombe la Dunia 2026

Mwamuzi Amin Mohamed Amin Omar wa Misri, aliyewahi kuchezesha mechi ya ‘Kariakoo Derby’ kati ya Yanga dhidi ya Simba iliyopigwa, Juni 25, 2025, amechaguliwa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), kuchezesha fainali za Kombe la Dunia. Katika fainali hizo za Kombe la Dunia zitakazopigwa nchi tatu za Marekani, Canada na Mexico kuanzia Juni 11,…

Read More

Chadema kibarua tena leo mahakamani Dodoma

Dar es Salaam. Mawakili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo Jumanne, Machi 24, 2026 watakuwa na kibarua kingine kuishawishi mahakama wakati wa usikilizwaji wa mashauri manne yanayotokana na kesi ya madai ya mgawanyo wa rasilimali usio sawa kati ya Tanzania Bara na Zanzibar inayokikabili. Mashauri hayo ya mapitio yaliyopewa usajili wa maombi ya…

Read More

Majanga ya kuishi na mwenza haambiliki

Kuishi na mwenza asiyeambilika ni changamoto kubwa, inayoweza kuleta mgogoro na usumbufu katika ndoa au uhusiano. Katika maisha ya ndoa, wanandoa wanategemea na kutegemeana kwa kiasi kikubwa, lakini wakati mwingine mmoja au wote wawili wanakutana na hali ambazo hazitarajiwi.  Mmoja anaweza kuwa na tabia au mienendo ambayo inakuwa vigumu kubadilika au kukubaliana nayo, na hii…

Read More

MWANAMKE NDIYE MSINGI WA MAADILI KATIKA JAMII

Afisa Utamaduni wa Manispaa ya Kahama, Martha Kapela akizungumza na wanawake juu ya majukumu ya wanawake katika malezi, elimu ya maadili, na utunzaji wa familia huku akiwahimiza walimu kushirikiana katika malezi ya watoto shuleni. Na Neema Nkumbi, Kahama Afisa Utamaduni wa Manispaa ya Kahama, Martha Kapela, amesema mwanamke ndiye chanzo cha maadili katika jamii, huku…

Read More

Mtibwa vs Yanga mtego uko hapa!

YANGA inarudi uwanjani leo ikiendelea na ziara ya mechi za ugenini itakapokutana na Mtibwa Sugar na timu zote mbili zitakuwa na akili moja tu ya kushinda ili kujiweka kwenye nafasi nzuri. Huu utakuwa mchezo wa mwisho kwa timu zote kabla ligi haijasimama kupisha michezo ya timu za Taifa na Taifa Stars itakwenda Rwanda kushiriki michuano…

Read More