Wanafunzi chuo cha ardhi Tabora matatani kwa kumng’oa meno mlinzi
Tabora. Wanafunzi zaidi ya 15 wa Chuo cha Ardhi kilichopo Kata ya Cheyo, Manispaa ya Tabora mkoani Tabora, wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Tabora kwa tuhuma za kumfanyia vurugu mlinzi, kwa kumpiga na kumng’oa meno manne, wakimtuhumu kuwazuia kutoka na kuingia chuo kwa muda wanaotaka. Akizungumza chuoni hapo leo, Machi 7, 2026, Mkuu wa Mkoa…