Rehema: Ujane si hukumu, napambana kutunza wanangu

Mbeya. Alfajiri ya Nonde jijini Mbeya, huanza kwa sauti ya mafuta yanayochemka kwenye karai jeusi. Mwanga hafifu wa jiko la mkaa humulika uso wa Rehema Mwanjonde (30) huku mikono yake ikichanganya unga kwa ustadi. Kabla ya jogoo kuwika mara ya pili, maandazi ya kwanza huwa tayari yameiva, ya moto, yenye harufu inayochochea hamu ya mteja…

Read More

SHEIKH MKUU WA TANZANIA AWAHAMASISHA WANAWAKE KUMILIKI ARDHI BAADA YA KUPATA HATI SAMIA ARDHI KLINIKI

Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Abubakar Zubeir, ametoa wito kwa Watanzania kujitokeza kwa wingi kutumia fursa ya huduma za ardhi zinazotolewa kupitia Samia Ardhi Kliniki, akisisitiza umuhimu wa wanawake kumiliki ardhi kama njia ya kujikomboa kiuchumi. Mufti Zubeir alitoa kauli hiyo baada ya kufika katika Kliniki ya Ardhi inayofanyika katika Ofisi za Ardhi za…

Read More

MEELA AWAOMBA VIONGOZI WA DINI KUKEMEA SWALA LA WIZI.

MOSHI.  Wimbi la wizi, hasa wa mita za maji, limeendelea kuwa changamoto kubwa katika baadhi ya maeneo ya Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, hali inayozua wasiwasi kwa wananchi na viongozi wa jamii. Kutokana na hali hiyo, viongozi wa dini wametakiwa kutumia nafasi zao kuzungumzia na kukemea vitendo hivyo pamoja na kuwaombea vijana wanaojihusisha na uhalifu…

Read More

Mambo sita mwanao anayohitaji kuyasikia

Dodoma. Watoto wadogo ni watu kamili wenye hisia kama sisi watu wazima. Hata kama wakati mwingine hawawezi kusema wazi wazi, ukweli ni kwamba akili zao ni kama dodoki linalonyonya kimya kimya yale wanayoona tukiyasema na kuyatenda. Unaweza, kwa mfano, kusema jambo dogo kwa mtoto tena bila kumaanisha lakini jambo hilo likawa sumu itakayoharibu kabisa maisha…

Read More

Vita vya Wenyewe kwa Wenyewe kwa Wenyewe kwa Sudan vyaongezeka huku Ndege zisizo na rubani zikipiga Kuongeza Ushuru wa Raia na Hatari za Kikanda – Masuala ya Ulimwenguni

Familia ya Kisudani katika kijiji cha Wasat AL Gadaref, Jimbo la Gedaref, karibu na Khartoum, Sudan. Credit: UNICEF/Osman Seif na Oritro Karim (umoja wa mataifa) Ijumaa, Machi 20, 2026 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Machi 20 (IPS) – Wiki mbili zilizopita zimeashiria ongezeko kubwa la vurugu katika Vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Sudan,…

Read More

WANAWAKE e-GA WATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUMU

Wanawake kutoka Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Makao Makuu Dodoma wameungana na wanawake wengine Mkoani Dodoma kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani Machi 8, 2026, Jijini Dodoma  ‎ ‎Katika kuadhimisha siku  hiyo Wanawake hao wametoa msaada wa mahitaji mbalimbali katika Kituo cha Watoto Yatima cha Rahman kilichopo chang’ombe mkoani humo. ‎ Akizungumza mara baada ya kukabidhi…

Read More

Mvua kubwa zazua hofu ya mafuriko nchini

Dar es Salaam. Mvua kubwa zinazoendelea katika maeneo mbalimbali nchini zimeongeza hatari ya mafuriko, uharibifu wa miundombinu na changamoto za kiafya, huku wataalamu wakionya kuwa mabadiliko ya tabianchi na ukuaji wa kasi wa miji vinafanya matukio hayo kuwa ya mara kwa mara. Mvua hizo zilizoanza mwishoni mwa mwezi uliopita ni sehemu ya mwanzo wa msimu…

Read More