LIVE: Wananchi walivyojitokeza kuaga mwili wa Kardinali Pengo
Dar es Salaam. Waombolezaji na waumini, waliojitokeza katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu kwa ajili ya kuuga mwili wa Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, leo Februari 27, 2026. Wananchi wakiaga mwili wa Kardinali Pengo kanisani Kardinali Pengo alifariki dunia Februari 19, 2026, katika Taasisi ya Moyo…