Aliyeua kutelekeza mwili kando ya barabara, kunyongwa
Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Songea, imemuhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa, Deo Ramadhani, baada ya kumkuta na hatia ya kumuua Melania Christian na kuutelekeza mwili wake kando ya barabara ya Mahinya, Songera. Mauaji hayo yalitokea Julai Mosi 2023, ambapo mwili huo ulikutwa ukiwa umefunikwa na kanga, katika Kijiji cha Mlilayoyo, Wilaya ya Namtumbo,…