Aliyeua kutelekeza mwili kando ya barabara, kunyongwa

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Songea, imemuhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa, Deo Ramadhani, baada ya kumkuta na hatia ya kumuua Melania Christian na kuutelekeza mwili wake kando ya barabara ya Mahinya, Songera. Mauaji hayo yalitokea Julai Mosi 2023, ambapo mwili huo ulikutwa ukiwa umefunikwa na kanga, katika Kijiji cha Mlilayoyo, Wilaya ya Namtumbo,…

Read More

Hili ndilo soko la mafuta na bei zinapangwa hivi

Vita inayoendelea katika ghuba ya Uajemi tayari vimesababisha bei ya bidhaa muhimu ya mafuta kuongezeka, na ikiwa vita hiyo itaendelea ni dhahiri dunia inaweza kuangukia kwenye mgogoro wa kiuchumi unaosababishwa aidha uhaba wa mafuta au kupanda kwa gharama za maisha kutokana mfumuko wa bei na kuongezeka gharama za uzalishaji. Mafuta ndicho chanzo kikuu cha nishati…

Read More

Samia Aongoza Kikao Kizito cha Kamati Kuu CCM Dodoma

Global Publishers February 25, 2026 0 Comments Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha kawaida cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika mkoani Dodoma, tarehe 25 Februari, 2026. Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri…

Read More

Sio Ibenge wala Pedro Dar es Salaam Dabi

LICHA ya kushuka dimbani ikiwa na safu kali ya ushambuliaji inayoundwa na washambuliaji hatari wa Ligi Kuu Bara kwa sasa, Depu na Prince Dube, wenye jumla ya mabao 12, Yanga imeshindwa kuonyesha makali yake mbele ya lango baada ya kutopiga hata shuti moja lililolenga lango la Azam FC katika mchezo uliomalizika kwa suluhu. Mchezo huo…

Read More

Fanya Hivi Kama Unaona Mpenzi Wako Hamuendani!

NI Jumanne nyingine tunakutana kwenye eneo letu la kupeana elimu ya uhusiano. Ulimwengu huu ni mzuri kama utampata mtu sahihi. Mtu ambaye mnapendana kwa dhati na hakuna hata mmoja wenu ambaye anamsumbua au kumyanyasa mwenzake.  Kizazi cha sasa kimetawaliwa na ugomvi, usaliti, tamaa na kila aina ya mambo mabaya. Bahati mbaya sana hata wale walioko…

Read More

Mwenyekiti wa CCM Itilima afariki dunia

Simiyu. Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Itilima, mkoani Simiyu, Mhuli Ngeleja amefariki Machi 18, 2026 huku CCM ikimtaja kama kiongozi shupavu na mwadilifu. Taarifa iliyotolewa leo Ijumaa Machi 20, 2026 na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenan Kihongosi, imeeleza kuwa chama kimepoteza kiongozi shupavu, mwadilifu na…

Read More

MAHUBIRI: Nguvu ya maneno ya kinywa chako

Bwana Yesu asifiwe. Karibu kwenye tafakari ya neno la Mungu leo Jumapili. Ninaitwa Mchungaji Gasper Madumla. Somo letu la mahubiri linalotuongoza linasema “Nguvu ya maneno ya kinywa chako”.  Biblia inafundisha wazi kwamba maneno ya mwanadamu yana nguvu kubwa. Siyo sauti tu inayotoka kinywani, bali ni nguvu yenye uwezo wa kuumba, kujenga, au kubomoa. Ndiyo maana…

Read More