Usikose! Nafasi 31 za Kazi Zatangazwa Halmashauri ya Liwale

Global Publishers March 21, 2026 0 Comments Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale ametangaza rasmi nafasi za kazi 31 kwa Watanzania wenye sifa, baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Tangazo hilo linahusisha nafasi katika kada tatu tofauti ambazo ni Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja…

Read More

Uvumilivu, bidii, imani vilivyobadili maisha ya Benedicta

Dar es Salaam. Katika jamii nyingi za Kitanzania, ndoto za mtoto wa kike mara nyingi hukwama njiani kutokana na changamoto za kiuchumi, mila na mitazamo potofu. Hata hivyo, simulizi ya Benedicta Mrema ni ushuhuda kuwa bidii, uvumilivu na imani vinaweza kubadili mkondo wa maisha. Ni hadithi ya binti aliyekataa kukata tamaa licha ya vikwazo vilivyoonekana…

Read More

Trump: Mapambano Ya Ardhini na Iran ni Kupoteza Muda

Global Publishers March 6, 2026 0 Comments Donald Trump amepuuzilia mbali uwezekano wa kuanzisha uvamizi wa kijeshi wa ardhini nchini Iran kwa sasa, akueleza mpango huo kama “kupoteza muda” kutokana na kushindwa kwa nguvu za kijeshi za nchi hiyo, ikiwemo Iranian Navy. Akizungumza kwa njia ya simu na NBC News jana Alhamisi, Machi 5, 2026,…

Read More

Jeshi la Polisi lawashikilia wawili kwa mauaji ya Nyanza

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linawashikilia watuhumiwa wawili wanaohusishwa na mauaji ya Athumani Nyanza, ambaye mwili wake ulipatikana ukiwa umefukiwa kwenye shimo karibu na nyumba yake Mtaa wa Kimya Kimya, Kata ya Zingiziwa, Chanika. Taarifa za awali zinaeleza kuwa marehemu Nyanza anadaiwa kuuawa na mpenzi wake, kabla ya…

Read More

Kanuni kudhibiti maonyesho ya biashara yanayofanyika holela

Dar es Salaam. Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade) imekuja na kanuni maalumu ambazo zinalenga kuboresha mazingira ya ufanyaji biashara na kudhibiti baadhi ya vitendo vinavyoumiza wafanyabiashara ikiwemo kuandaa maonyesho yasiyoweza kuleta tija. Hayo yameelezwa katika kikao cha pamoja na wadau kilichoandaliwa na Tantrade kwa ajili ya kujadili kanuni hizo kilichofanyika leo Machi 11,…

Read More

Fountain Gate yazitaka mechi za nyumbani Ligi Kuu

FOUNTAIN Gate imesema tatizo la timu hiyo kutokuwa na matokeo mazuri ni kutokana na ufinyu wa kikosi chake na mechi nne zijazo ikiwamo dhidi ya Simba itakazocheza nyumbani ndizo zitaamua zaidi hatma yao. Hata hivyo, imesisitiza mechi hizo dhidi ya Simba, Mtibwa Sugar, Dodoma Jiji na Coastal Union zitakuwa za kufa au kupona kuhakikisha hawapotezi…

Read More

‘Mfumo wa Kisiasa Husogea Pekee Unapotishiwa Moja kwa Moja’ – Masuala ya Ulimwenguni

na CIVICUS Jumatatu, Machi 23, 2026 Inter Press Service CIVICUS inajadili uchaguzi ujao wa Nepal na mwanaharakati wa vijana Anusha Khanal wa Gen Z Movement Alliance, muungano wa mashirika ya kiraia unaoongozwa na vijana unaohamasisha uwajibikaji wa kidemokrasia na mageuzi ya utawala nchini Nepal. Anusha Khanal Kufuatia kujiuzulu kwa Waziri Mkuu KP Sharma Oli kutokana…

Read More

Naibu Waziri akabidhi viti mwendo 10 Manyara

Babati. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Regina Ndege, amekabidhi viti mwendo kwa watu wenye mahitaji maalumu katika Wilaya ya Babati, ikiwa ni sehemu ya jitihada zake za kuwasaidia watu wenye ulemavu wa viungo kupata unafuu katika maisha yao ya kila siku. Akizungumza na Mwananchi Digital…

Read More