Wazazi wanavyoweza kudhibiti WhatsApp za watoto wao
Dar es Salaam. Katika kuhakikisha usalama wa watoto mitandaoni, Kampuni ya teknolojia ya Meta Platforms, inayomiliki programu ya WhatsApp, imetangaza kuanzisha mfumo mpya wa akaunti zinazodhibitiwa na wazazi kwa watoto walio chini ya umri wa miaka 13. Tangazo hilo lililotolewa Machi 11, 2026, linakuja wakati dunia ikishuhudia ongezeko la wasiwasi kuhusu athari za mitandao ya…