Ukiiweza ndoa, kwa nini mengine yakushinde?

Katika maisha ya binadamu, kuna mambo mengi ya kufanya na kutofanya. Kwa vile hii ni safu ya ndoa, leo, tutaangalia mafanikio na maanguko katika ndoa. Hapa, kuna swali huwa linatushughulisha sisi kama wanandoa tena wa muda si haba. Je, inakuwaje baadhi ya wanandoa huweza kufanikisha mambo yanayowashinda wengi katika ndoa wakati wengine wakishindwa kabisa japo…

Read More

Katika CSW70, Mawakili Wanaonya Migogoro Inaongeza Vikwazo kwa Haki kwa Wanawake na Wasichana – Masuala ya Ulimwenguni

Mkurugenzi Mtendaji wa UN Women, Sima Bahous akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Sabini wa Kamisheni kuhusu Hadhi ya Wanawake. Credit: UN Photo/Evan Schneider na Oritro Karim (umoja wa mataifa) Jumanne, Machi 17, 2026 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Machi 17 (IPS) – Kikao cha 70 cha Tume ya Hadhi ya Wanawake (CSW70)…

Read More

NISHATI SAFI INAKOMBOA NA KUMPA HADHI MWANAMKE

::::::: Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dk Dorothy Gwajima, amesema mwanamke anapotumia nishati safi ya kupikia anapata muda zaidi wa kushiriki shughuli za uzalishaji, ubunifu na malezi bora ya familia. Akizungumza leo Machi 4, 2025 katika kongamano la wanawake wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) la kuhamasisha matumizi ya nishati…

Read More

MKUU WA MKOA KATAVI AAGIZA UTII WA SHERIA ZA TASAC

Na Mwandishi Wetu,Katavi Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko, ameagiza wadau wote wa usafiri majini na shughuli zinazohusiana na uendeshaji wa vyombo vya majini mkoani humo kuhakikisha wanatii kikamilifu sheria na taratibu zinazosimamiwa na Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC). Mrindoko ametoa maagizo hayo leo tarehe 27 Februari, 2026, alipokutana na watalaam wa…

Read More

Chaumma yaanza kuifumua katiba yake

Dar es Salaam. Wakati mjadala wa Katiba mpya ukiendelea kushika kasi, Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimezindua operesheni ya kuandika upya katiba yake, hatua inayokwenda sambamba na kuhamasisha uelewa wa umma kuhusu mabadiliko ya Katiba ya nchi. Katika utekelezaji wa mkakati huo unaolenga chama kujijenga kisiasa, Katibu Mkuu wa chama hicho, Salum Mwalimu ametangaza…

Read More

Mapya yaibuka matokeo ya urais Tanzania

Arusha. Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) imebaini kuwepo kwa upungufu katika Katiba ya Tanzania unaozuia kupingwa kwa matokeo ya uchaguzi wa urais mahakamani, ikisema kifungu kinachokataza hatua hiyo kinakiuka haki za binadamu. Katika hukumu iliyotolewa leo Ijumaa, Machi 6, 2026, kwenye kesi ya Ado Shaibu na wengine dhidi ya Jamhuri…

Read More