Mushi anavyoamini Kiswahili ni pesa, fursa kwa wanawake

Dar es Salaam. Katika kipindi ambacho lugha ya Kiswahili inaendelea kupanua mipaka yake kimataifa, jina la Consolata Mushi limeendelea kujitokeza kama nguzo muhimu katika safari hiyo. Akiwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili la Taifa (Bakita), Mushi ni miongoni mwa viongozi wanaoamini kwa dhati kuwa Kiswahili si tu chombo cha mawasiliano, bali ni rasilimali na…

Read More

Usipojipanga BDL imekula kwako | Mwanaspoti

WAKATI timu zikisubiri kutangaziwa tarehe ya kuanza kwa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), timu zitakazoshindwa kujipanga vizuri huenda zikajikuta zikikumbana na vichapo vya kushangaza kutokana na namna ambavyo maanadalizi yanaendelea. Ugumu kwa baadhi ya timu hizo huenda ukachangiwa na ubora wa timu zoefu zilizopo katika ligi hiyo ambazo husajili wachezaji wazoefu…

Read More

BALOZI WA MAZINGIRA MOSES ASISITIZA UPANDAJI MITI

………….. Na Mwandishi Wetu, Tunduru Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amempa siku 14 mkandarasi anayetekeleza mradi wa kusafirisha umeme wa msongo wa kilovoti 220 kutoka Songea hadi Mahumbika kupitia Tunduru na Masasi kurejea eneo la mradi na kuendelea na kazi mara moja. Hatua hiyo imechukuliwa kufuatia kutoridhishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi huo…

Read More

Mkuu wa misaada wa Umoja wa Mataifa analaani gharama ya ‘dola bilioni 1 kwa siku’ ya vita katika Mashariki ya Kati – Masuala ya Ulimwenguni

“Tunaona matokeo yakienea haraka kuliko tunavyoweza kujibu”, alionya mkuu wa Umoja wa Mataifa wa misaada ya dharura, Tom Fletcher, kama vurugu hurejea mipakani kusababisha kuhama kwa watu wengi na mshtuko wa kiuchumi. Akizungumza na waandishi wa habari mjini Geneva, afisa mkuu wa Umoja wa Mataifa wa misaada ya kibinadamu alisema, “huu ni wakati wa hatari…

Read More

Waziri Mkuu abaini dosari Nkasi, aagiza uchunguzi

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amebaini viashiria vya ubadhirifu wa fedha katika ujenzi wa mabweni ya Shule ya Sekondari ya Chala, Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa unaogharimu Sh310 milioni huku akiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuanza uchunguzi. Dk Mwigulu amehoji inakuaje mradi ambao bado haujaisha unapata nyufa na…

Read More

ALIPWA FIDIA YA SH. 7M KWA KUHARIBIWA JIKO, UKUTA

*Ni baada ya kueleza kero yake kwa Waziri Mkuu JITIHADA za Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba kusikiliza kero za wananchi zimezaa matunda ambapo mkazi wa Kata ya Baraa jijini Arusha, Bi. Agnes Simon Laizer alilipwa fidia ya sh. milioni 7 na mmiliki wa shule ya Nariva Hill (jirani yake) ambaye alikuwa ameharibu jiko na ukuta…

Read More

Ndoa si mbio za kasi, ni za masafa marefu

Ukiwaona wanandoa wapya wakitembea kwa bashasha, nyuso zikiwa zimejaa matumaini na mioyo ikidunda kwa ahadi za kesho njema, ni rahisi kuvutiwa na uzuri wa mwanzo wao. Lakini pia, si ajabu kwa wanandoa wakongwe, waliodumu katika taasisi ya ndoa kwa miongo kadhaa, kuwakazia macho kwa tabasamu lenye kumbukumbu nyingi, furaha, majaribu na ushindi wa safari ndefu….

Read More