WAJASIRIAMALI 238 WADOGO WAFIKIWA NA HUDUMA ZA VIWANGO TBS KANDA KASKAZINI

Meneja wa Kanda ya Kaskazini (TBS), Mhandisi Ismail Mwaipaja, akizungumza na waandishi wa habari mapema leo jijini Arusha kuhusu mafanikio na utekelezaji wa majukumu ya kanda hiyo Mhandisi Mwaipaja amesema TBS Kanda ya Kaskazini imefanikiwa kuthibitisha ubora wa bidhaa za wazalishaji pamoja na wajasiriamali 492, ambapo kati yao 238 ni wajasiriamali wadogo. Hatua hiyo imechangia…

Read More

Je, Tunawezaje Kupitia Ugonjwa wa Hali ya Hewa-Mtandao wa Asia-Pacific? – Masuala ya Ulimwenguni

Madhara ya Kimbunga Odette katika Jiji la Lapu-Lapu, Cebu, Ufilipino, 2021. Credit: Unsplash/Carl Kho Maoni na Anne Cortez (manila, Ufilipino) Jumanne, Machi 03, 2026 Inter Press Service MANILA, Ufilipino, Machi 3 (IPS) – Jamii duniani kote zinazidi kukabiliwa na vitisho vinavyoingiliana. Hali ya hewa kali, dharura za kiafya na mashambulizi ya mtandaoni yanatokea mara kwa…

Read More

UNDP, UINGEREZA WATOA ZAIDI YA TSH MILIONI 70 KUIMARISHA BIASHARA BUNIFU ZA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU TANZANIA

Mpango huo unatekelezwa na UNDP kupitia Mradi wa FUNGUO kwa ushirikiano na Serikali ya Uingereza kupitia FCDO. Ushirikiano huo unalenga kuimarisha mfumo wa ubunifu nchini kwa kuwaunganisha wanafunzi na ushauri elekezi, fursa za ufadhili pamoja na mazingira yatakayosaidia mawazo yao kukua na kuwa biashara endelevu. Kabla ya kutangazwa kwa washindi, timu za wanafunzi zilipata mafunzo…

Read More

Serikali yaingilia kati mgomo wa madereva daladala Himo

Moshi. Madereva daladala eneo la Njia Panda, Himo wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro, waligoma kwa zaidi ya saa tano wakidai madereva bajaji kuwanyang’anya abiria katika vituo vyao vya kupakia na kushusha abiria barabara ya Marangu–Mwika. Mgomo huo ulitokea Februari 25, 2026 na kusababisha usumbufu kwa wasafiri, huku daladala zikisitisha huduma zikishinikiza bajaji kuondoka katika eneo lao….

Read More