Daktari aeleza kitaalamu chanzo majeraha ya mastaa Yanga

KAMA wodi ya wagonjwa sasa huko Jangwani inaelekea kujaa kufuatia idadi ya majeruhi kuongezeka ikiwa ni siku chache tangu kutangazwa kuwa nahodha msaidizi wa kikosi hicho, Dickson Job na Clement Mzize watakuwa nje ya uwanja kwa zaidi ya wiki sita, huku mmoja wa madaktari bingwa akitaja sababu na suluhisho lake. Madaktari wa klabu hiyo wamethibitisha…

Read More

Wanne wauawa kwa tuhuma za uhalifu, kufumaniwa Mbeya

Mbeya. Watu watano wamefariki dunia jijini Mbeya, wakiwamo wanne wanaodaiwa kujihusisha na vitendo vya uhalifu ikiwemo uporaji na upigaji nondo nyakati za usiku, na mmoja ameuawa kwa fumanizi. Hivi karibuni gazeti la Mwananchi liliripoti uwepo wa makundi ya uhalifu katika maeneo mbalimbali jijini Mbeya, siku chache baada ya mwandishi wa TV Imaan, Rashid Mkwinda, kuvamiwa,…

Read More

Trump Atangaza Vita dhidi ya Iran, Milipuko Yaripotiwa Mashariki ya Kati, Iran Yajibu

Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuanza kwa kile alichokiita “operesheni kubwa za kivita” dhidi ya Iran, akisema hatua hiyo inalenga kulinda raia wa Marekani kwa kuondoa vitisho vinavyodaiwa kutoka kwa utawala wa Tehran. Katika ujumbe wa video uliorushwa kwenye mitandao ya kijamii, Trump alisema Marekani kwa kushirikiana na Israel imeanzisha mashambulizi ya makombora yaliyolenga…

Read More

PROF. MKENDA: MUHAS KUWA MJI WA KITAALUMA NA TIBA

Serikali imedhamiria kuwa Kampasi ya Mloganzila ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) itakuwa mji wa kitaaluma na tiba, ikijumuisha vituo vya umahiri vitakavyotoa huduma za matibabu, elimu na utafiti ili kuimarisha sekta ya afya na elimu ya juu nchini. Hatua hiyo, inatokana na uwekezaji mkubwa unaoendelea katika Kampasi hiyo, pamoja na…

Read More

Mafuriko ya mvua yaziacha kaya 14 bila makazi Moshi

Moshi. Kaya 14 zenye jumla ya watu 39 katika Mtaa wa Viwanda, Kata ya Njoro, Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro zimekosa makazi baada ya nyumba zao kuzingirwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyonyesha kwa zaidi ya saa sita usiku wa kuamkia Machi 2, 2026. Mbali na kupoteza makazi, familia hizo zinakabiliwa na uhaba wa…

Read More