TIB, UNDP Waingia Ubia wa Kimkakati Kukuza Uchumi Jumuishi na Endelevu

Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya Maendeleo (TIB), Deogratius Kwiyukwa  na  Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Shigeki Komatsubara wakisaini hati ya Makubaliano (MoU) itakayolenga kuendeleza mifumo bunifu ya ufadhili wa maendeleo, hatua inayotarajiwa kuchochea mageuzi ya kijamii na kiuchumi nchini. Mikataba huo umesainiwa leo Machi 17, 2026 jijini Dar es Salaam.  Mkurugenzi…

Read More

Tofauti za kihisia kati ya wanawake na wanaume

Dar es Salaam. Mijadala kuhusu tofauti kati ya wanawake na wanaume imekuwepo kwa muda mrefu, lakini mijadala inayohusu hisia na mawasiliano imekuwa nyeti zaidi kwa sababu inagusa maisha ya kila siku kama ndoa, uhusiano wa kimapenzi, familia na hata sehemu za kazi. Mara nyingi migogoro hutokea si kwa sababu ya kukosa upendo au heshima, bali…

Read More

Ushindi wa Takaichi Unasemaje Kuhusu Siasa za Vijana katika Enzi ya Dijitali – Masuala ya Ulimwenguni

Picha: Hiroshi-Mori-Stock / shutterstock.com na 内閣広報室 / Ofisi ya Masuala ya Umma ya Baraza la Mawaziri / Wiki Commons Maoni by Ria Shibata Jumanne, Machi 03, 2026 Inter Press Service Ushindi wa Sanae Takaichi katika uchaguzi wa Februari unaashiria mabadiliko ya kihistoria katika siasa za Japan. Akiwa waziri mkuu wa kwanza mwanamke wa Japani na…

Read More

Waziri Gwajima ahimiza jamii kubadili mitazamo, kuvunja vikwazo

Arusha. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dk Dorothy Gwajima, amesisitiza umuhimu wa jamii kubadili mitazamo na kuvunja vikwazo vinavyokwamisha usawa wa kijinsia na ujumuishwaji wa watu wenye ulemavu katika jamii. Amesema Serikali itaendelea kuimarisha mifumo ya kisheria, kisera na kitaasisi ili kuhakikisha hakuna mwananchi anayeachwa nyuma katika safari ya maendeleo….

Read More

Tanzania yatangaza kumalizika kwa mlipuko wa Marburg

Ugonjwa huo ulioripotiwa kwa mara ya kwanza tarehe 20 Januari 2025 katika Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera ambapo watu wawili kutoka mkoani humo walithibitika kuwa na maisha na kupoteza maisha wakipatiwa matibabu. Katika ripoti ya ripoti na Waziri wa Afya Jenista Mhagama imeeleza kuwa mgonjwa wa kwanza aliripotiwa tarehe 28 mwezi Machi 2025 siku 42…

Read More

MZIKI WA DKT.AGNES GIDNA WAIKUNA KAMATI YA BUNGE.

Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imempongeza Afisa Uhifadhi Mkuu wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Dkt. Agnes Gidna kutokana na umahiri, umakini, kujiamini na uchambuzi wake mkubwa wa masuala ya mambo kale na jiolojia. Wakiongozwa na mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe. Timotheo Mnzava wabunge hao wametoa pongezi hizo baada ya…

Read More