Mbinu shirikishi zatolewa kuinua ufaulu wa somo la hisabati

Dar es Salaam. Wadau wa elimu wamekutana jijini Dar es Salaam kujadili mbinu za kuboresha ufundishaji na ujifunzaji wa somo la hisabati, wakilenga kuwasaidia wanafunzi kulipenda na kufanya vizuri zaidi. Mjadala huo uliandaliwa na Taasisi ya Maendeleo ya Elimu Afrika Mashariki ya Chuo Kikuu cha Aga Khan (AKU-IED, EA) jana Jumatatu, Machi 17, 2025 ukiadhimisha…

Read More

TAMWA Yakumbusha Historia ya Mapambano Dhidi ya Dhuluma kwa Wanawake na Watoto

Mwasisi wa Chama Cha Wanahabari Wanawake Tanzania(TAMWA),Fatma Aloo akizungumza wakati wa Iftari iliyofanyika katika Ofisi za TAMWA jijini Dar es Salkaam kwa kuunganisha Waandishi wa habari wakongwe na wakati na wasasa. Iftaru hiyo imefanyika Machi 06, 2026. CHAMA cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania, Tanzania Media Women’s Association (TAMWA), kimesisitiza umuhimu wa kuendeleza harakati za…

Read More