WANAWAKE SF GROUP WATUMIA MAADHIMISHO YA SIKU YA MWANAMKE KUTOA MISAADA KIBAHA
VICTOR MASANGU,KIBAHA Wafanyakazi wanawake wa kampuni ya SF group ya Jijini Dar es Salaam katika kuadhimisha maadhimisho ya siku ya mwananke duniani wameamua kutoa msaada wa vitu mbali mbali katika shule ya Sekondari Koka pamoja na kufanya matendo ya huruma katika vituo viwili vya kulelea watoto yatima vilivyopo Katika Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha. Katika…