Tujifunze kwa Finland utoaji elimu ya fedha

Fikiria mtoto wa miaka 13 tayari anaelewa kuweka akiba, kupanga bajeti, au kujaribu biashara ndogondogo. Katika makuzi ni umri mzuri wa kujenga na kuzoesha kwa urahisi zaidi kuwa sehemu ya maisha ya mtu. Nchi ya Finland utoaji wa elimu ya umezingatia msingi huo, programu maalum kujifunza masuala ya fedha binafsi na kipato kwa vitendo maarufu…

Read More

Ziara ya Dk Mwigulu yaweka hatarini ajira za watendaji mikoani

Dar es Salaam. Huenda ziara zilizofanywa na Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, katika mikoa ya kaskazini zikaweka hatarini nafasi za baadhi ya watendaji serikalini kutokana na kubainika kwa kasoro za kiutendaji. Katika ziara hiyo iliyoanzia Mkoa wa Tanga Februari 13, 2026, kisha Kilimanjaro, Arusha na Manyara, Dk Mwigulu aliwabananisha watendaji wa Serikali akitaka kupatiwa ufafanuzi…

Read More