Alliance ipo sokoni ikitafuta kocha

ALLIANCE Girls imeingia kambini rasmi Ijumaa kuanza maandalizi ya Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania inayotarajiwa kurejea April 03, huku uongozi wa timu hiyo ukianza mchakato wa kusaka kocha mkuu mpya atakayeiongoza kikosi hicho katika mzunguko wa pili. Mabadiliko hayo yanafanyika katika benchi la ufundi kufuatia aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Sultan Juma kuondoka baada…

Read More

Video: Maafisa 40 wa Iran Wauawa katika Mashambulizi ya Israel na Marekani

Global Publishers March 1, 2026 0 Comments  Katika mashambulizi ya Jumamosi, 28 Februari 2026, yanayodaiwa kufanywa na Israel na Marekani, takriban maafisa 40 waandamizi wa Iran wameripotiwa kufariki. Miongoni mwa waliothibitishwa: Ayatollah Ali Khamenei – Kiongozi Mkuu wa Iran, aliuawa asubuhi katika ofisi yake. Abdolrahim Mousavi – Mkuu wa majeshi ya nchi, aliuawa katika…

Read More