Masaju ataka taasisi za haki jinai ziwajibike, zizingatie Katiba na sheria
Dar es Salaam. Jaji Mkuu wa Tanzania, George Masaju ameagiza kila taasisi zilizopo katika mnyororo wa utoaji wa haki kuwajibika ipasavyo kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia Katiba, sheria na maadili ya utumishi yanayosimamia taasisi husika. Pia, amesema wadau wa haki wanapaswa kulinda na kuheshimu hadhi ya Mahakama, huku Mahakama nayo ikisimamia kanuni na sheria zilizopo,…