Sh14.9 bilioni kujenge madaraja mawili Ileje

Ileje. Naibu Waziri wa Ujenzi, Godfrey Kasekenya amemtaka mkandarasi kutoka kampuni ya Jasco anayejenga daraja la Kabalisi na mkandarasi kutoka kampuni ya Gemen anayejenga daraja la Sange kukamilisha miradi hiyo kufikia Machi 30, 2026. Ujenzi wa madaraja hayo yanatarajia kugharimu jumla ya Sh14.9 bilioni  ambapo inadaiwa pindi yakikamilika yataondoa adha kwa wananchi ya kuvuka kwenda…

Read More

Bahati Yako Ipo Meridianbet Leo

JE unajua kuwa bahati yako ipo Meridianbet siku ya leo? Wakali hawa wa ubashiri Tanzania wanakwambia kuwa ingia kwenye akaunti yako, weka dau na ubashiri mechi za leo uibuke na Mamilioni. Ligi pendwa Duniani EPL, kurindima simu ya leo Crystal Palace atumana vikali dhidi ya Leeds United huku tofauti ya pointi kati yao hadi sasa…

Read More

Profesa Wa Sheria, Mwanadiplomasia Costa Mahalu Afariki Dunia Akiwa na Umri wa Miaka 77

Bakari Mahundu March 9, 2026 0 Comments   Profesa wa sheria na mwanadiplomasia, Costa Mahalu (77), amefariki dunia. Taarifa kutoka kwa familia yake imethibitisha kuwa Profesa Mahalu amefariki leo Jumatatu, Machi 9, 2026, katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), alipokuwa akipatiwa matibabu. Profesa Mahalu alitambuliwa kama msomi mahiri, mwalimu mwenye bidii na mwanadiplomasia mwenye…

Read More

Wamiliki wa viwanda wakumbushwa kuboresha mazingira ya kazi

Pwani. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Rahma Kisuo ameziagiza menejimenti za viwanda mkoani Pwani kuboresha mazingira ya kazi na maslahi ya wafanyakazi ili kuhakikisha uzalishaji unakuwa endelevu na wenye tija. Kisuo ametoa agizo hilo Machi 4, 2026 wakati wa ziara yake ya kufuatilia utekelezaji wa sheria mbalimbali za…

Read More

Jinsi mtuhumiwa mauaji ya Nyanza alivyonaswa

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema kuwa limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa wawili wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya Athumani Nyanza, ambaye mwili wake ulipatikana umefukiwa kwenye shimo karibu na makazi yake, Mtaa wa Kimya Kimya, Chanika jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa za awali, Nyanza anadaiwa kuuawa na…

Read More

Shauri la Kikatiba lililofunguliwa na TLS latupwa

Dar es Salaam. Dosari za kisheria katika hati ya kiapo cha rais wa chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi, kimesababisha shauri la kikatiba lililofunguliwa dhidi ya Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), kutupwa na mahakama. Uamuzi wa kutupa shauri hilo baada ya kubainika dosari hizo, umetolewa jana Jumatano, Machi 11, 2026 na jopo la majaji…

Read More