‘Kuzuia Kesi Sawa Kunahitaji Kuvunjilia mbali Taratibu Zinazochukulia Wapinzani kama Uhalifu’ – Masuala ya Ulimwenguni

na CIVICUS Ijumaa, Februari 27, 2026 Inter Press Service CIVICUS inajadili kuharamishwa kwa wapinzani nchini Ufilipino na Kyle A Domequil, msemaji wa Mtandao wa Free Tacloban 5, kampeni inayomuunga mkono mwanahabari Frenchie Mae Cumpio, mtetezi wa haki za binadamu Marielle Domequil na washtakiwa wenzao na wanaotetea kuachiliwa kwao. Kyle A Domequil Mnamo tarehe 22 Januari,…

Read More

SGR, MV Umoja kuunganisha usafirishaji, Serikali yasema…

Mwanza. Serikali ya Tanzania imesisitiza kuwa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) haujasimama, huku ikiendelea kuunganisha mradi huo na usafiri wa majini kupitia meli ya MV Umoja ili kurahisisha usafirishaji wa mizigo ndani na nje ya nchi. Kauli hiyo imetolewa kufuatia mijadala ya wananchi kuhusu kasi ya miradi ya kimkakati, baadhi wakidai imekwama, jambo ambalo…

Read More

Twiga Stars kurejea leo | Mwanaspoti

KIKOSI cha timu ya Taifa ya Tanzania, Twiga Stars, kinarejea leo kutokea Falme za Kiarabu kilipokita kambi kwa ajili ya kujiandaa na Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026. Twiga Stars ilikuwa UAE ikishiriki mashindano ya kujipima nguvu ya Pink Ladies Cup ambayo yalikuwa ni maandalizi ya WAFCON 2026 yaliyotarajiwa kuanza…

Read More

Faida za Maji ya Nazi kwa Wagonjwa wa Gauti Unazopaswa Kujua

Gout ni ugonjwa wa kimetaboliki unaosababishwa na kuongezeka kwa kiwango cha asidi ya uric (uric acid) kwenye damu. Asidi hii ikizidi, hutengeneza fuwele ndogo zinazojikusanya kwenye viungo, hali inayosababisha maumivu makali, uvimbe na joto kwenye viungo, hasa vidole vya miguu, magoti na vifundo. Kwa mujibu wa Dkt. Nguyen Anh Duy Tung kutoka Kliniki ya Lishe…

Read More

Hesabu za Simba, Azam zikiifukuzia Yanga

MATOKEO ya mechi ya leo Alhamisi yataamua mshale wa Simba katika msimamo wa Ligi Kuu Bara upande hatua mbili juu au ubaki hapohapo huku kikosi hicho cha Steve Barker kikiwa na mtihani mbele ya Pamba Jiji. Ni mechi itakayochezwa saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, dimba ambalo wenyeji Pamba Jiji msimu…

Read More

Takukuru yashtuka mamilioni ya fedha za walimu Mwanza

Mwanza. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Mwanza imefanikiwa kudhibiti Sh85 milioni zilizokuwa zimecheleweshwa kutolewa kwa walimu wapya 77 wa shule za sekondari katika Halmashauri ya Jiji la Mwanza kwa miezi sita. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatano, Februari 25, 2026 Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Mwanza, Abnery Mganga amesema…

Read More