Upangishaji wa vizimba wachochea masoko kuwa wazi
Dar es Salaam. Licha ya Serikali kutumia fedha nyingi kujenga masoko ya kisasa, likiwamo Soko Kuu la Kariakoo, bado baadhi ya vizimba na maduka yameendelea kuwa matupu. Kutokana na hali hiyo, uongozi wa soko hilo umetangaza kuwa vizimba ambavyo wamiliki wake hawatavifanyia biashara ndani ya kipindi cha miezi mitatu vitapigwa mnada. Hoja hiyo imekuja baada…