Upangishaji wa vizimba wachochea masoko kuwa wazi

Dar es Salaam. Licha ya Serikali kutumia fedha nyingi kujenga masoko ya kisasa, likiwamo Soko Kuu la Kariakoo, bado baadhi ya vizimba na maduka yameendelea kuwa matupu. Kutokana na hali hiyo, uongozi wa soko hilo umetangaza kuwa vizimba ambavyo wamiliki wake hawatavifanyia biashara ndani ya kipindi cha miezi mitatu vitapigwa mnada. Hoja hiyo imekuja baada…

Read More

TANZANIA YAJIUNGA RASMI NA WORLD BOXING

▫️Hatua kubwa kwa maendeleo ya Ngumi Kimataifa 20-03-2026 – Dar es Salaam. SHIRIKISHO la Ngumi Tanzania (BFT) linapenda kuutaarifu umma na wadau wa mchezo wa ngumi kuwa Tanzania imekuwa rasmi mwanachama wa World Boxing, Shirikisho la Kimataifa la Ngumi linalotambuliwa na Kamati ya Olimpiki ya Kimataifa (IOC). Uamuzi wa kuipokea Tanzania ulifikiwa katika kikao cha…

Read More

Waziri Mkuu Asisitiza Amani, Maadili Na Ushirikiano Na Taasisi Za Dini – (Picha +Video)

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na taasisi za dini nchini katika kulinda amani, kuimarisha maadili na kuchochea maendeleo ya Taifa. Dkt. Mwigulu amesema hayo leo Jumapili (Machi 15, 2026) wakati akitoa salamu katika Ibada iliyofanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Mpanda Mjini, Dayosisi ya…

Read More

Nafasi za Kazi: Site Foreman Wenye Uzoefu wa Miaka 2 Wahitajika Haraka

Global Publishers February 26, 2026 0 Comments 2️⃣ Site Foreman (Civil Building Project) Minimum Qualifications: Bachelor of Science in Building, Construction Management, Civil Engineering, or related field Minimum of 2 years practical site experience in building construction Key Responsibilities: Supervise day-to-day construction activities on site Coordinate labor, subcontractors, and materials effectively Ensure work is executed…

Read More