YAS YAENDELEA KUWA KINARA, MTANDAO WENYE KASI ZAIDI TANZANIA, KWA MIAKA MITATU MFULULIZO
Kampuni ya kimataifa ya uchambuzi wa mitandao, Ookla, imethibitisha tena ubora wa mtandao wa Yas baada ya majaribio mengi ya spidi kwa mujibu wa matokeo ya Speedtest kutoka Ookla. Dar es Salaam, Tanzania – 18 Machi 2026 – Yas Tanzania, Kampuni ya mawasiliano inayoongoza kwa mtindo wa maisha ya kidijitali nchini ambayo pia ni sehemu…