Dodoma Jiji Waisimamisha Simba Watoka Sare, Macho Yote Yanga vs Simba
Global Publishers February 26, 2026 0 Comments Simba wameshindwa kufurukuta katika dimba la Jamhuri, Dodoma baada ya kulazimishwa sare ya bila kufungana (0-0) dhidi ya Dodoma Jiji FC maarufu kama Wakulima wa Zabibu. Katika mchezo huo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba walimiliki sehemu kubwa ya mchezo lakini walikosa makali ya kumalizia nafasi walizozitengeneza. Dodoma…