Hizi Hapa Changamoto Za Kuchanganya Mapenzi Na Kazi

NI wiki nyingine ninapokukaribisha msomaji wangu kwenye ukurasa huu, mada tunayoendelea nayo ni ile tuliyoianza wiki iliyopita, ya namna ya kukabiliana na changamoto za kuchanganya mapenzi na kazi. Jambo la msingi unalopaswa kulitambua, siku zote mapenzi na kazi ni vitu ambavyo havitakiwi kuchanganywa, kama unafanya kazi na mwenzi wako, basi mkiwa kazini ni mfanyakazi mwenzako…

Read More

RAIS NDAYISHIMIYE AWASILI TANZANIA KUSHIRIKI MKUTANO WA 25 JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI ARUSHA.

:::::::::: Rais wa Jumhuri ya Burundi  Évariste Ndayishimiye amewasili katika Uwanja wa Ndega wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) Mkoani Kilimanjaro, kushiriki katika Mkutano wa 25 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) unaofanyika leo tarehe 7 Machi 2026 katika Makao Makuu ya Jumuiya jijini Arusha.  Akiwasili Mkoani humo amepokelewa na…

Read More