UN yasema hali ya usalama Haiti inazidi kuwa hatari

Taifa hilo na limendelea kushuhudia ghasia za magenge, na Umoja wa Mataifa unakisia kwamba tayari magenge yamechukua mamlaka wa asilimia 85 ya mji mkuu wa Port-au-Prince. O’Neil alisema kuwa inazidi kuzorota zaidi kila anapotembelea taifa hilo. Alisema kwamba kutojali na ufisadi ni vizingiti kuvunja magenge hayo. Aliongeza serikali ya Haiti ni lazima iweke kipaumbele cha…

Read More

THBUB UNGUJA, PEMBA KUIMARISHA USHIRIKIANO

04 MACHI, 2026 ZANZIBAR *ZASISITIZA USHIRIKIANO MAENEO YA UTAALAMU, UZOEFU NAIBU Katibu Mtendaji Tume ya Haki za binadamu na Utawala Bora (THBUB), Bw. Juma Msafiri Karibona amehimiza suala la ushirikiano katika kutekeleza majukumu ya Tume hiyo kwa ofisi za Unguja na Pemba. Bw. Karibona aliyasema hayo ofisi za Tume zilizopo Mombasa, Wilaya ya Magharibi B…

Read More

MAHUBIRI: Njia za Mungu kujiondoa katika mipaka ya kiroho

Bwana Yesu asifiwe! Karibu kwenye tafakari ya Neno la Mungu siku ya leo Jumapili ambapo tumepewa somo linalosema ‘Njia za Mungu kujiondoa katika mipaka ya kiroho’. Katika maisha ya mwanadamu kuna mambo mengi yanayoonekana kwa macho, lakini pia kuna mambo mengi yasiyoonekana yanayotawala maisha ya watu. Moja ya mambo hayo ni mipaka katika ulimwengu wa…

Read More

Trump Aibuka na Onyo Kali kwa Iran Kuhusu Mashambulizi Leo

Global Publishers March 7, 2026 0 Comments Rais wa Marekani, Donald Trump Rais wa Marekani, Donald Trump, ameionya Iran kuwa itakumbana na mashambulizi makali leo, akidai kuwa nchi hiyo tayari inapata pigo kubwa kutokana na operesheni za kijeshi zinazodaiwa kufanywa kwa ushirikiano kati ya Marekani na Israel. Trump alitoa kauli hiyo kupitia mtandao wake wa…

Read More

JIONI YA BARAKA FAMILIA YA OYA YASHIRIKI IFTAR NA JAMII

Taasisi ya Oya Micro-crediti imeandaa futari maalum kwa wateja wake na jamii kwa ujumla tukio lililolenga kuimarisha mshikamano wa kijamii. Mwezi Mtukufu wa Ramadhan ni wakati wa kutafakari, kushukuru, na kushirikiana na jamii katika kujitoa kwenye mambo mablimbali. Kwetu OYA, tunaamini kuwa mafanikio ya kweli hayapimwi tu kwa ukuaji wa biashara, bali pia kwa mchango…

Read More

Hesabu za Simba, Azam zikiifukuzia Yanga

MATOKEO ya mechi ya leo Alhamisi yataamua mshale wa Simba katika msimamo wa Ligi Kuu Bara upande hatua mbili juu au ubaki hapohapo huku kikosi hicho cha Steve Barker kikiwa na mtihani mbele ya Pamba Jiji. Ni mechi itakayochezwa saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, dimba ambalo wenyeji Pamba Jiji msimu…

Read More

RC Songwe ataka mpango unafuu wa umeme kwa wachimbaji madini

Songwe. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Jabiri Makame amemwagiza Meneja wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) Mkoa wa Songwe kundaa na kutekeleza mpango wa muda mfupi, utakaoweza kuleta nafuu ya tatizo la umeme katika Wilaya ya Songwe ikiwemo maeneo yanakochimbwa madini. Makame ametoa maagizo hayo akiwa ziarani wilayani Songwe kukagua hali ya upatikanaji wa umeme…

Read More