Mikopo kausha damu, ajira, kero za afya zateka mkutano wa CCM Magu
Magu. Mikopo ya kausha damu na mikopo ya vijana ni miongoni mwa kero zilizotawala mkutano wa hadhara wa Chama cha Mapinduzi (CCM) uliofanyika Nyanguge, wilayani Magu, mkoani Mwanza. Mkutano huo ulihudhuriwa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi ambaye alisikiliza kero za wananchi, baadhi akizitolea majibu papo hapo huku nyingine akitoa…