WAZIRI WA NISHATI DEOGRATIUS NDEJEMBI AAGIZA REA KUWEZESHA UZALISHAJI WA NISHATI SAFI

Na Farida Mangube, Morogoro  Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, ameagiza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuandaa mpango madhubuti wa kuwawezesha wananchi kuzalisha nishati safi ya kupikia kwa kutumia pumba za mpunga. Agizo hilo limetolewa wakati wa ufunguzi wa kongamano la kitaifa la nishati safi lililofanyika mkoani Morogoro, likihusisha wadau kutoka Tanzania Bara na Zanzibar. Hatua…

Read More

Kuongezeka kwa Jua nchini Pakistani Kukabili Mgogoro wa Nishati wa Mashariki ya Kati – Masuala ya Ulimwenguni

Serikali ya Sindh imeanza kusambaza mifumo ya nishati ya jua kwa kaya 200,000 za kipato cha chini chini ya Mradi wa Nishati ya jua wa Sindh ili kuboresha upatikanaji wa umeme. Credit: Sindh People’s Housing kwa Walioathiriwa na Mafuriko na Zofeen Ebrahim (karachi, pakistan) Ijumaa, Machi 20, 2026 Inter Press Service KARACHI, Pakistani, Machi 20…

Read More

Wanadiplomasia, wadau wa maendeleo waipa Tanzania mbinu kukuza biashara

Dar es Salaam. Wadau wa maendeleo na wanadiplomasia wameishauri Tanzania kuchukua hatua za haraka kuboresha mazingira ya biashara ili kuvutia wawekezaji zaidi. Mapendekezo yao ni pamoja na kupunguza udhibiti wa taasisi nyingi, kuondoa urasimu, kuimarisha kituo cha huduma za pamoja na kuhakikisha utekelezaji wa mipango unafanyika kwa vitendo. Wametoa maoni hayo katika mkutano wa wadau…

Read More

Waislamu watakiwa kudumisha utamaduni wa kutenda mema

Geita. Waumini wa dini ya Kiislamu wametakiwa kuendelea kumfanya Mwenyezi Mungu kuwa kimbilio lao kwenye maisha kwa kudumisha matendo mema kama ilivyokuwa wakati wa Ramadhani, ili awajalie kufanikiwa katika haja zao ambazo walimuomba. Rai hiyo imetolewa leo Ijumaa Machi 20, 2026 na Sheikh Dauda Bushumbilo kutoka Taasisi ya Ansari Geita Mjini, wakati wa swala ya…

Read More

Kuanguka kwa Haiti kunadai hatua za haraka za kimataifa huku mamilioni ya watu wakikabiliwa na njaa na vurugu – Masuala ya Ulimwenguni

Edem Wosurnu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa ya masuala ya kibinadamu, OCHAaliwafahamisha waandishi wa habari kuhusu misheni yake ya hivi majuzi katika taifa la visiwa vya Karibea ambako magenge yenye silaha yenye jeuri yanasalia kutawala maeneo makubwa ya eneo hilo. Mgogoro unaozidi kuwa mbaya unaangaziwa na kuongezeka kwa ukosefu wa usalama, kuongezeka kwa mahitaji…

Read More

Kichapo cha Black Sailors chamliza Kocha Sebleni

KICHAPO cha bao 1-0 ilichopokea Sebleni kutoka kwa Black Sailors katika Ligi Daraja la Kwanza Kanda ya Unguja, bado kinamtia simanzi kocha wa timu hiyo, Yahaya Yussuf. Kocha huyo amesema licha ya timu kucheza kwa kufuata mpango maalumu ulioelekezwa, lakini imeshindwa kupata matokeo yaliyotarajiwa. “Matokeo hayo hayakupatikana kutokana na wachezaji kushindwa kutumia nafasi walizozipata,” amesema….

Read More