Singida BS yamalizana na kocha Mkongo
SINGIDA Black Stars imemalizana na kocha Papi Kimoto anayetua kuifundisha timu hiyo ambayo hivi karibuni ilitangaza kuvunja benchi lote la ufundi. Kimoto, raia wa DR Congo anatua Singida BS baada kuachana na Union Maniema iliyoishia hatua ya 16 bora katka Kombe la Shirikisho Afrika msimu huu. Taarifa kutoka nchini DR Congo ni kwamba, juzi usiku…